Plot4Sale Nauza eneo langu lipo Mkenge heka 3 price 3.5m

Mshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣
Hamna mtu wa kati kati? Hati si ipo lakini??
Mi mkinga nataka niwape mkononi sitaki mambo ya kuingiza pesa bank.!
 
Mshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣
Hamna mtu wa kati kati? Hati si ipo lakini??
Mi mkinga nataka niwape mkononi sitaki mambo ya kuingiza pesa bank.!
Haki ya mungu yani. Mm nataka nikajitegemee mbele kwa mbele mana kuishi kama nyoka nishachoka. Lete hela hiyo Lamomy. Nakuahidi milion 1 nitaitumia na mdogo wa wako wa kike kwenda nae zanzibar kabla sijaanza mambo ya maendeleo binafsi
 
Kiwanja kiwanja kiwanja bei rahisi
Mill 1150 tu
Kiko mbezi masitekina pagala vyumba 3 debule kubwa jiko na choo aijamalizika
Cont
0776740448
Huyumdada akkikisha ukiwasiliana nae unanjuza tulewote pls...ukinigeuka hutomaliza mwaka...
Kina sqrmtr 1320
Nyumba ya 4 toka barabarani.........
 
Mlabananaanapo shuhuli
Ukijenga unaishia kati
Hurudi tena ukirudi siokwako
Na kumejengwa anza kutafuta
Waliokusainia uonee
 
lamomy
Cash ndio mpango mzima
SEma mgaiane majumbani
Mtaanj unaweza usifike nazo
Mamboya benki 😂

Zimetoka wapikwanani mnunuzi yuko wapi
nawakatihuo
Ushazima na simu mnhnuzi unaempigia kaenda dubai tafadhali jaribu no nuingjne joto la....linanza kutoka....
 
Haki ya mungu yani. Mm nataka nikajitegemee mbele kwa mbele mana kuishi kama nyoka nishachoka. Lete hela hiyo Lamomy. Nakuahidi milion 1 nitaitumia na mdogo wa wako wa kike kwenda nae zanzibar kabla sijaanza mambo ya maendeleo binafsi
😂😂😂😂 Ushaanza kupanga matumizi kabisaa.!!
Zikiisha muanze kusema wakinga wana pesa za majini!! 🤣
 
Izo site si ndo makesi kesi ya ovyo yanaripukaga🙂
Unauziwa eneo Leo baad ya miak 20 unashangaa weny umilik halali wanakuja kudai eneo wajenge kibanda ch udongo , mazafanta
 
Yes napajua. Inawezekana ofcourse miaka inayokuja hasa Bagamoyo ikikuwa panaweza badilika. Kuna jamaa yangu alinunua miaka 10 iliyopita ana mlinzi tu wa kulinda shamba
After 10 yrs bado hapajachangamka?

Au alinunua kwenye hifadhi ya wanyama huyo😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…