Mshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣Ewaaaaaaa! Bei iko palepale mzee baba mana tumekubalian familia nzima. Pale kwetu kuja kariakoo nauli 650 tu. Eneo ni strategic ila kama unataka ya bei chee nikupe namba ya dalali.
Mm tuzungumze la kwetu tu mengine sina asee. Au tukiuzie lile la jamaa yangu wa mwasonga mambo yasiwe mengi
Haki ya mungu yani. Mm nataka nikajitegemee mbele kwa mbele mana kuishi kama nyoka nishachoka. Lete hela hiyo Lamomy. Nakuahidi milion 1 nitaitumia na mdogo wa wako wa kike kwenda nae zanzibar kabla sijaanza mambo ya maendeleo binafsiMshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣
Hamna mtu wa kati kati? Hati si ipo lakini??
Mi mkinga nataka niwape mkononi sitaki mambo ya kuingiza pesa bank.!
Yani uhakika mzee watakaochanga wakanunue kijumba cha pamoja wao tu. Mm najichenga zanguMshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣
Hamna mtu wa kati kati? Hati si ipo lakini??
Mi mkinga nataka niwape mkononi sitaki mambo ya kuingiza pesa bank.!
Ndio hukohuko, kwingne mbele kabisa ya kimbiji Yan unapita kimbij unapasahau, NI kama unaenda mkoa tuuHe! He! 😂😂
Huko si unaweza kuwa karibu na kimbiji
Mkononi ni poa ili janjajanja ikijitokeza uende ukingani uangamize ukoo mzima.Mshagawanya likiuzika kila mtu pasu kwa pasu.!! 🤣🤣🤣
Hamna mtu wa kati kati? Hati si ipo lakini??
Mi mkinga nataka niwape mkononi sitaki mambo ya kuingiza pesa bank.!
😂😂😂😂 Ushaanza kupanga matumizi kabisaa.!!Haki ya mungu yani. Mm nataka nikajitegemee mbele kwa mbele mana kuishi kama nyoka nishachoka. Lete hela hiyo Lamomy. Nakuahidi milion 1 nitaitumia na mdogo wa wako wa kike kwenda nae zanzibar kabla sijaanza mambo ya maendeleo binafsi
After 10 yrs bado hapajachangamka?Yes napajua. Inawezekana ofcourse miaka inayokuja hasa Bagamoyo ikikuwa panaweza badilika. Kuna jamaa yangu alinunua miaka 10 iliyopita ana mlinzi tu wa kulinda shamba
Fukayosi ipo Barabara ya Bagamoyo na Morogoro.Eneo kubwa, hivi Countrywide hili eneo likoje unapajua?
After 10 yrs bado hapajachangamka?
Au alinunua kwenye hifadhi ya wanyama huyo😂😂
Kajichanganye ununue ardhi huko bagamoyo fukayosi baadae uje kulia hapaWakuu nunueni ardhi acheni kununua iphone. Ardhi miaka mitano baadae unaweza kuuza bei mara mbili au tatu uliyonunulia😊
Hayo maeneo mambo ni mengi sana.Mhm.! Kuna migogoro au?
Eeh ili kuepuka usumbufu huko mbele sasahivi tuwe makini sana jamani.Una mkodisha Silaa hata kama amehamishwa wizara aje kuwa shahidi wako
Kujihakikishia usalama tu na kupunguza muda wa kwenda mahakamani Kila wiki kwajili ya kesiKwanini tena Kiongozi??
Kama uko siriaz na eneo mkuu tuawailine😂😂😂😂 Ushaanza kupanga matumizi kabisaa.!!
Zikiisha muanze kusema wakinga wana pesa za majini!! 🤣