INAUZWA Nauza vitu vifuatavyo kwa dharula, nauhitaji mkubwa wa pesa

Humidifier bado ipo wakuu
Naitoa kwa only 100k
Mawasiliano: 0713498825
Dsm-Ubungo
 
Hii ni kwaajili ya nn
Inasaidiaa sana kipindi cha joto kalii kuweka hewa nyevu ndani hata kipindi cha baridi....Hasa nyumba zenye watoto wenye matatizo ya upumuaji au mafua makali uifanya hewa inakuwa nyepesi.
Husaidia kuondoaa hewa nyevu kipindi cha baridi kalii
 
Bushmmann Booster na speaker kubwa bado ipo ndugu zangu....nipe offer nikuletee ulipo na Mungu atakubaliki sana.
0713498825
 
Habarii za muda huu wakuu....
Bidhaa hizi bado zipo waungwana wanasema niwawekee lakini hawajalipia....na nina shida kubwa ya pesa kwa haraka ...anayeweza kuja lipia ndio mnunuzi..
Package ya Hp laptop,Amazon Kindle reader na Samsung tab 10.1' na offer ya Franklin 4G wireless router nahitaji only 1M.
Samsung Laser Jet Printer model 2885ND nahitaji only 300k.
Naomba mnibebe ndugu zangu vifaa hivyo nauzia bei ya dharula kwa dharula niliyo nayo
Kimoja kimoja
Hp laptop intel core i5 7th Gen 8 GB RAM nahitaji only 500k
Amazon Kindle reader nahitaji only 200K
Samsung Tablet 10.1' 80GB storage with new flip cover nahitaji only 350k
Franklin 4G wireless router nitatoa kama offer.
 
Wakuu Fta dish na reciever zake njoo uchukue hata kwa laki..100k only
Dish ni kubwa unaweza funga hata LNB za reciever nyingine pia.
Nicheki ndugu yangu hapa
0713498825
 
Daaah ni kweli kabisa tubebane iyo laptop nimejipiga mpaka nachakaa ipo 450000.
 
Changamoto kiongozi kama itakupendeza 450000.tumalize bznes. Yakuongeza sina mkuu
Okk chief njoo uchukue nahitajii sana hii pesa na muda wa kusubiria ahadi za wadau umeniishia
Nicheki hapa mkuu 0713498825
 
Boss nimekutumia namba yangu kwenye private message Monday mapema ikiwepo nipigie simu nitakuja kuilipia laptop
 
Boss nimekutumia namba yangu kwenye private message Monday mapema ikiwepo nipigie simu nitakuja kuilipia laptop
Asante mkuu,ilaa nilipofikiaa sina tena ujanjaa wa kusubiriaa...Nitakuchukua kilicho mbele yangu.
 
Wakuuu wangu hizi bidhaa bado zipo hazijachukuliwa.
Laptop hp core i5 7th Gen 500k
Amazon kindle reader 200k
Samsung tablet 10.1' with flip cover 350k
Humidifier 100k
Foldable aluminium tent 400k
Franklin wireless router 50k
Samsung laser jet printer ( imetumika kwa muda mchache sana imenunuliwa ikiwa mpya) 250k
Package ya laptop + amazon kindle reader + Franklin wireles router 1000k
071349825
Ubungo -Dsm.
 
Habari za siku nyingine tena ndugu zangu wa Jamii forums,kwangu mimi hapa ndio sehemu pekee nayotegemea kufanikisha nalopambania ambalo liko njee ya muda kutokana na kutofikiwa gharama hitajika.
Hizi items bado ninazo
Laptop hp intel core i5 7th Gen 8GB of Ram na 500GB hard disk bei 500k
Samsung laser jet printer model ML 2855ND bei 250k
Samsung Tablet 10.1' with new flip cover bei 350k
Aluminium outdoor tents kubwa lenye 100sqft bei 400k
Napatikana
Dsm-Ubungo
0713498825
Nb: ninahuitaji mkubwa wa pesa kwa haraka hivyo pamoja kwamba items nyingi nauza kwa bei ya chini lakini pia kwa muhitaji serious nione kwenye simu unachotaka tukubaliane .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Receiver za mwaka 47,washike mkuu

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Ni kwelii boss ni za muda mrefu,na sijaziweka sokoni ili nimpige mtu...after all hizo receiver ni za muda mrefu lakini kuna dish hilo na pia kuna LNB ambazo ndio hizo hizo zinazotumiwa na Azam,dstv nk..
Mnunuzi wa hilo dish lnb 2 na receiver old school mbili kwa laki moja mbona ni very reasonable boss....hebu nishauri basi ili nisiwe nimempiga mtu na mimi nahitaji pesa niuze bei kiongozi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akufanyie wepesi naona wana wanatoa ahadi wanapotea hii si sawa kabisa kama hauko vizuri ni heri kukaa kimya kuliko kumpa mtu matumaini sifuri, hope utauza hiyo pc ikiwa bado haijapata mtu nitajipiga piga nichukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…