Nimekupa hioo juu pqmbqna nayo iko na jumba alijamalizikaaMazungumzo unafanya na mwenyewe
Sio kila tajiri ana muda wa kutafuta wateja wa kuwauzia mali yake
Kazi yangu ni kutangaza biashara ukiipenda unakaa mezani na muuzaji mnamalizana
Dk 0 njoo nboxHiki 150m anachukua?
kipo cha mbweni sqrmtr 1300 mil 120
Masite dk 5 toka barabaarani
cont 0713458722
Boss huo ni mtazamo wako baki nao sio lazima utushirikishe akili zako za kibahiliYaani nitoe milioni mia moja kununua kiwanja kimara Wakati napata nyumba kali huko kigogo na naweka wapangaji nakula Kodi.......
Sasa shida iko wapi kaka? mi mwenyewe dalali nilitaka nipandilie hii kaziSio kila biashara ipo hivyo kama hujui kitu kaa kimya nayo ni busara
Kama wewe ni dalali ungeniomba tu idhini ya kuleta mteja ila maneno yako ulioandika hayana nia njema rejea comment yako uone ina tija kwenye tangazo langu au ni wivu unakusumbua tuSasa shida iko wapi kaka? mi mwenyewe dalali nilitaka nipandilie hii kazi
unapoteza kumbukumbu kirahisi sana dalali, mliyeanza nae hio arguement ni ndugu BALENSIAGAKama wewe ni dalali ungeniomba tu idhini ya kuleta mteja ila maneno yako ulioandika hayana nia njema rejea comment yako uone ina tija kwenye tangazo langu au ni wivu unakusumbua tu