INAUZWA Nauza Viwanja, nyumba na Mashamba Kigamboni Dar es Salaam

Ipo mjimwema mtaa wa kibugumo
Ina vyumba vitatu kimoja master
Sitting room jiko na public toilet
Kiwanja kina ukubwa wa mita 22×40
Ina document ya serikari ya mtaa
Bei milioni 60 mzungumzo yapo
Ipo kilometers 9 toka kivukoni
Kilometers 1.5 toka main road
0713672719
0787672719
 
Mwenyewe alikuwa anafanya biashara ya kuuza maembe dodo? Maana naona kuna matenga ya kutosha hapo!!
 
Nyumba ipo mwembe mdogo kigamboni
Ina vyumba vitatu kimoja master sitting room jiko na public toilet Bei milioni 35
Kiwanja kina sqm 900 upimaji shirkishi
Umefanyika ipo kilometers 18 toka kivukoni
Mita 150 toka main road nicheki
0787672719
0713672719

 
Beach ipo Pembamnazi Kigamboni Ina ukubwa wa heka moja Bei milioni 90
Umiliki documents ya mauziano ipo kilometers 52 toka Kivukoni
0713672719
0787672719
 
Nyumba inatizama barabara kuu ya lami iyendayo kongowe ipo mjimwema mtaa ungindoni senta Ina vyumba vitano sitting room Bei milioni 120 unaweza Jenga maduka location ya biashara ipo kilometers 7 toka kivukoni
0713672719
0787672719

 
Nyumba Inauzwa Kigamboni toangoma kituo kinaitwa mwembe mtengu ni nyumba ya kisasa kabisa ina vyumba vinne vya kulala ikiwemo master bedroom moja ina jiko Dina na seeting room kubwa na stoo kwa nje ina eneo la kutosha kupaki magari yako ukubwa wa eneo ni square 1000 ni sawa na robo eka nyumba ina hati miliki na ina kila kitu ndani bei ni milioni 170 maongezi yapo ni jirani kabisa na barabara kuu ya lami kwa maelezo zaidi tupigie simu 0787672719 au 0713672719

 
Kipo mwembe mdogo chuo Cha Afya
Kina ukubwa wa sqm 547 kimeshafanyiwa upimaji bado kutolewa hati tu Bei milioni 6
Kipo kilometers 18 toka kivukoni kilometers 2 toka main road
0713672719
0787672719

 
:: 0713672719= 0787672719

VIWANJA VIPYA TUMEKATA CHANIKA ZINGIZIWA MJINI MANISPAA YA ILALA DAR ES SALAAM TANZANIA.

KWA TSHG MILLIONI 2,000,000/= 2M

UKUBWA WA ENEO SQM 400

VIPO TAMBALALE KABISA SEHEMU SAFI KIMAKAZI NA KIBIASHARA KWA MHUTAJI SILIASI.

HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZINAPATIKANA JIRANI SANA KAMA VILE = SHULE = UMEME = MAJI = HOSPITAL = NYUMBA ZA IBAADA

AISEEE SIYO VYA KUKOSA WEWE UNAEHITAJI KUMILIKI KIWANJA CHAKO CHA MJINI

TEMBELEA KWENYE OFFICE YETU IKO MJINI CHANIKA JIRANI NA SHELL YA #OIL COM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…