Nassoro Abdallah
Member
- Jul 22, 2020
- 89
- 94
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa utangazaje wake unaweza kuamini kwamba nyumba ni yake manake utakuta anaandika "Nauza Nyumba", kumbe dalali! Siku ya kwanza kuona matangazo yake, nami nikaamini kwamba ni nyumba yake!!Mkuu nakushauri usiuze hiyo nyumba komaa tu uimalize au uhamie hivyo hivyo. Najua uenda una matatizo unahitaji pesa ila komaa na dunia hiyo nyumba usiiuze. Kama ni ada hamisha watoto shule peleka za kawaida na jishushe kimaisha ila mjengo baki nao ndio urithi mkubwa wa watoto. Siku hizi tunawasomesha na kazi hawapati so elimu sio urithi mkubwa kihivyo kama mali kama hii nyumba.
Ramani yako nzuri sana pambana uimalize
WizaraniHati miliki kutoka wizarani au kutoka serikali ya mtaa
kimepimwa vipi kuhusu hati?Kipo mjimwema kibugumo
Kina miguu 20×14 Bei milioni 4
Tu njoo ukaguwe 0713672719
0787672719View attachment 2306217
Kina document ya mauziano ya SERIKARI YA MTAAkimepimwa vipi kuhusu hati?
Kula 3milKipo mjimwema kibugumo
Kina miguu 20×14 Bei milioni 4
Tu njoo ukaguwe 0713672719
0787672719View attachment 2306217
Njoo ukaguweKula 3mil
Kuna vya kwangu na vya watu babu ukuona nauza hicho changu ukuona KINAUZWA hicho Cha mtuHuyo jamaa utangazaje wake unaweza kuamini kwamba nyumba ni yake manake utakuta anaandika "Nauza Nyumba", kumbe dalali! Siku ya kwanza kuona matangazo yake, nami nikaamini kwamba ni nyumba yake!!