Navukaje hapa wakuu

Navukaje hapa wakuu

Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
We muongo tu kama waongo wengine wanaume wa hivyo ni wachache sana tena wanaelement za kike
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Ewaaaaa!!! Sasa hapo kwenye bakora ndio umenena vizuri. Piga bakora usiku kucha usiruhusu asinzie hata kidogo ndio atakuheshimu.
 
Ukimtia tu, itabidi aondoke.


Kama unataka aondoke immediately, mtie tu kisha aende zake akiwa mwepesi.

Otherwise, ukimla na ukamuacha, mkeo akirudi ata-notice mabadiliko, kisha ugomvi, kisha beki tatu ataondoka na wewe utabaki na doa la uaminifu kwenye ndoa.
 
Agiza kwa ile sauti ya baba mpaka akuogope.

Yani inakuwaje housegirl unamwambia aende Mlandizi halafu anakukatalia?

Au kashakuona unamlegezea?
Mimi siishigi kama simba na digi digi. Napenda awe huru na aishi kama yuko kwao. Sasa naona inataka kunirudia
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Hapo mimi sichomoki kwenye huo mtego.
 
Back
Top Bottom