Navukaje hapa wakuu

Navukaje hapa wakuu

mara hii wewe na kizibo mwenzio mshaanza kutegana, hivyo mmeshasahau ya ile clip ya 'afande' na bado issue ya moto inachemka..??
Mbona ninyi ni wasahaulifu hivyo..??
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Hawa mabinti huko walipo wanatumwa kwenda kulala na waume za watu na washike mimba ili wakomboe familia zao duni kupitia huyo mtoto mtakaepata pamoja. Kama unataka kuwa mkombozi wao pita nae, kama hautaki hiko kikombe mkwepe kama ana ukoma vumilia mke wako arudi. Na pia mwambie mke wako mitego yote anayokufanyia huyo housegirl.
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Acha ufala, unataka kuharibu mdoa kwa ujinga usio ma faida.
Mkemee mtoto kama pepo hatarudia.
Acha udhaifu huu hata akiifunua yema mate pita hivi
 
Tandika huyo kata fimbo tandika hadi akikuona anaju a hutaki umalaya jata fumbo nyembamba nzuri mchape sana nauongee na mama yake kuhusu hilo ni bora uwe va mchepuko kuliko huvi viwavi vya shetani vinagaribugi ndoa zawatu vimeweka vidawa ndani ya uke ukikila tu ndio kila siku nimazoea. Viepuke kama ukoma.


Unaonekana wewe ni mtu mzima sana 45 to 55
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Tobo hizo tobo hizo utashangaa tu mara pa zimempatia cheo kawa kiongozi kwa kutumia tobo mbili za chini .....kisha analeta kiburi na kukuambieni yeye ni chura kiziwi....
 
Asalamwaleko!

Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.

Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.

Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.

Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.

Au mnashaurije wakuu.
Inaonekana amefanya majukum ya mke
Vip mke wako alikuwa anajaribu kukujali kama huyo mdada?

Nina mashaka ameshaona udhaifu wa mke wako na kama mke wako alikuwa hakujali basi lazima uingie mkenge
Nachoshauri huyo mtoto afukuzwe maana ukikataa ataenda kuchoma kwa wife
 
Back
Top Bottom