Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo ile Mtoto kauta mtoto kautakaMtomber tu.. kama anakutega inaonesha anautaka...
Ni house girl au ni shemejiNimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi
Namna hiyoo..Hii ndo ile Mtoto kauta mtoto kautaka
Mshirikishe dada yake changamoto zako na muombe ushauri.Mimi siishigi kama simba na digi digi. Napenda awe huru na aishi kama yuko kwao. Sasa naona inataka kunirudia
Hawa mabinti huko walipo wanatumwa kwenda kulala na waume za watu na washike mimba ili wakomboe familia zao duni kupitia huyo mtoto mtakaepata pamoja. Kama unataka kuwa mkombozi wao pita nae, kama hautaki hiko kikombe mkwepe kama ana ukoma vumilia mke wako arudi. Na pia mwambie mke wako mitego yote anayokufanyia huyo housegirl.Asalamwaleko!
Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.
Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.
Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.
Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.
Au mnashaurije wakuu.
Unaongea tu wewe ila ukishaoa kuna muda kula Pusi unaona ni kitu cha kawaida sana tena sanaa na hakikupi kabisa mlipuko wa Moyo.Kiukweli watu mpo vizuri ningekua mimi mda wife anasepa ningeshamkonyeza huyo beki mbili
Hiyo sio ukioa tu, hata usipoaa unapata pusi vizuri yawezekana zaidi ya aliye kwenye ndoaUnaongea tu wewe ila ukishaoa kuna muda kula Pusi unaona ni kitu cha kawaida sana tena sanaa na hakikupi kabisa mlipuko wa Moyo.
Break zipo psiiii chaaaa psiiii chaaaa psiiii chaaaaNenda polepole mbele mteremko mkalii
Acha ufala, unataka kuharibu mdoa kwa ujinga usio ma faida.Asalamwaleko!
Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.
Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.
Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.
Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.
Au mnashaurije wakuu.
Tobo hizo tobo hizo utashangaa tu mara pa zimempatia cheo kawa kiongozi kwa kutumia tobo mbili za chini .....kisha analeta kiburi na kukuambieni yeye ni chura kiziwi....Asalamwaleko!
Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.
Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.
Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.
Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.
Au mnashaurije wakuu.
Inaonekana amefanya majukum ya mkeAsalamwaleko!
Kumetokea emergency ikalazimu wife kusafiri kwenda mkoani, atakaa wiki 2 huko. Sasa hapa home tuko mimi na housegirl tu, yaani wawili. Kwa kweli nategwa sana na huyu mtoto. Muda wote yuko na kanga moja nikimwambia anasema anaona joto. Jana nimerudi saa 7 usiku naona anaangalia TV yuko na kanga maziwa nje.
Nikaenda zangu mezani na yeye kaja kanipakulia chakula na yeye akakaa hapo hapo. Nimekula nikaenda zangu kulala. Saa 10 naamshwa maji yanatoka nimsaidie kukinga, natoka naona mtoto yuko kihasara hasara tu. Nikamwambia kalale nashughulikia maji mwenyewe. Cha ajabu akaenda kulala kwenye kochi akaachia mapaja nje na anajifanya kalala. Nilivomaliza nikaenda kumwamsha akalale ndani, si ndo kaniambia anaogopa nyumba kubwa mno. Nikasema siku zote si huwa unalala akasema angalau dada huwa yupo. Nikamwambia nenda uchukue shuka ujifunike, kasema naomba nisindikize nichukue. Nikamwambia umezidi nikaenda zangu kulala.
Asubuhi nimeamka nimeoga nikaondoka zangu. Hapa kazini naona matukio ya jana yanajirudia kichwani.
Sitaki kutembea nae kwa kweli ila naona kabisa naenda kudhalilika. Nisiporudi home usalama mdogo mana yuko peke yake.
Nimewaza nimwambie akapumzike kwa ndugu zake huko mlandizi mpaka dada yake arudi. Akikataa naona naenda kutia bakola binti wa watu.
Au mnashaurije wakuu.