Nawaalika warembo wa kula nao bata

Na Mimi nahitaji only 3 girls wakula nao bata 25-28 dar na Zanzibar tar 24 nitatua dar nikitokea nyangarata mgodini huku..hahaha
 
Tunajiandikisha wapi.?

Haha mrembo Mzigua90 unajiandikisha hapa hapa... nikionaga hii ID unanikumbusha mrembo fulani wa kizigua alinipa mambo matamu sidhani kama nitayapata tena ktk maisha yangu!! Respect kwa wadada wa kizigua
 
Haha mrembo Mzigua90 unajiandikisha hapa hapa... nikionaga hii ID unanikumbusha mrembo fulani wa kizigua alinipa mambo matamu sidhani kama nitayapata tena ktk maisha yangu!! Respect kwa wadada wa kizigua
Jamani jamani. Ikawaje ukamuacha akapotea na mambo yake amazing sasa??
Atakua mtoto wa aunt yangu huyo. Mie shemeji yako
 
ndugu yangu kunajimbo hiloo ukitua uje nkupeleke hapa mjin lina watoto wakali tupuuuu, kma unataka wakutumia hzo hela watt wazur utawapata hapoo.....Mim nataka nauli ya bajaji tu mpk hapo kijiwen
 
Jamani jamani. Ikawaje ukamuacha akapotea na mambo yake amazing sasa??
Atakua mtoto wa aunt yangu huyo. Mie shemeji yako

Hahahah Daah kama atakua ndugu yako itabidi unitafutie mwingine sasa!!

Sikumwacha alitangulia mbele za haki kabla hatujatimiza ndoto zetu!
 
Hahahah Daah kama atakua ndugu yako itabidi unitafutie mwingine sasa!!

Sikumwacha alitangulia mbele za haki kabla hatujatimiza ndoto zetu!
Oops. Pole sana.
Itabidi twende zigua ukatafute mwingine
 
ndugu yangu kunajimbo hiloo ukitua uje nkupeleke hapa mjin lina watoto wakali tupuuuu, kma unataka wakutumia hzo hela watt wazur utawapata hapoo.....Mim nataka nauli ya bajaji tu mpk hapo kijiwen

Wapi hapo mzee? Nitafurahi ukinipeleka aisee!! Kuhusu usafiri utapanda Bentley mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…