Umalile Nkamu🤣Wewe Tangu TZ inapata uhuru mpaka leo hii unaongozwa na CCM... kuna tofauti gan na utawala wa familia ya kifalme tu??
Tunasema nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi, lakin in deep hili swala si la kweli.. CCM itampa madaraka CCM anaefuata, just like utawala wa kifalme kwenye kurithishana madaraka.
Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?Utawala wa kifalme uingereza hauna athari yoyote as long as democrasia yao ipo imara. Kiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
Lkn wanafaidi keki ya taifa kwa kupewa all the known special treatments like heads of stateKiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
nchi Nyingi zenye Demokrasia ya kweli maendeleo watu ni madogoKatika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Wengi hawaelewi hiliUtawala wa kifalme uingereza hauna athari yoyote as long as democrasia yao ipo imara. Kiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
Hapo Chadema hamna Mfalme?Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
jipige kifua mara 3 sema mimi ni MJINGAKatika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Hata bajeti yako wewe inachangiwa na walipa Kodi wa Uingereza.Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
basi waheshimu kwa kujijengea mfumo bora wa kiutawala na maisha unaowafanya kuwa bora kuliko kwenu. Unamdharau mtu kakupita kila kitu? Wewe kweli mtu mweusi.Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
Madhara ya kunywa maji ya kisima yaliyochanganyika na kinyesi lazima utaongea utumboKatika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Shughulika na ufalme ccm iliyojisimikia Tanzania, ya Uingereza waachie wenyewe hutayaelewa.Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Wanafalsafa wakubwa duniani kama Socrates, Plato na Marcus Aurelius walikuwa wanaamini kwamba huu mfumo wa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy) ndiyo njia sahihi kabisa ya kuongoza nchi. Hii ya kuruhusu kila mtu tu anayejua kuongea kuwa kiongozi kwasababu tu watu wengi wanamtaka huleta sana shida kwenye mataifa mengi.Mimi nadhani ni mfumo mzuri kwa kuwa wananchi wa uingereza wenyewe wameuridhia na unawapa kile ambacho wanakitaka.....
Kwamba fujo pro max, Wazungu walituharibia utawala wetu wa kitemi huo ndio ulikuwa sahihi sana lkn hii Demokrasia ya vyama vingi ni uongo tu na fujonchi Nyingi zenye Demokrasia ya kweli maendeleo watu ni madogo
1. Nchi za Scandnavia ambazo maendeleo watu ni makubwa wana wafalme, kina Norway, Denmark etc
2. Nchi za Gulf zina wafalme na Masultan
3. mashariki ya Mbali Japan utamkuta Emperor Naruhito
hata nchi ambazo unakuta wananchi wanachagua demokrasia inakuwa kama changa la macho Mfano Democrat na Republican una choice ya wawili tu, chagua left wing ama right wing huna choice ya kufikiria nje ya box.
njoo huku kwetu sasa, fujo pro max.
Nitajie utawala unaokubalika na raia wake wote 100% ili tuanzie hapo kuishauri UK iufuateNi kweli Waingereza wote wanapenda huo utawala wa kifalme au ni system ya kutawala yenye kulalamikiwa kama wadanganyika wanavyolalamikia huu Muungano?
Unashauri ili sisi tuwe vizuri tufuate mfumo upi mzee?Wanafalsafa wakubwa duniani kama Socrates, Plato na Marcus Aurelius walikuwa wanaamini kwamba huu mfumo wa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy) ndiyo njia sahihi kabisa ya kuongoza nchi. Hii ya kuruhusu kila mtu tu anayejua kuongea kuwa kiongozi kwasababu tu watu wengi wanamtaka huleta sana shida kwenye mataifa mengi.
Unakuta hata wale wajinga na maarufu (Demagogues) wanateuliwa na kushika nyadhifa za nchi, ilhali tunafahamu fika kwamba hawana uwezo wala maadili ya kuwa viongozi wa ummah. Hata Marekani kwenyewe hawaruhusu Demokrasia ambayo wanaharakati wetu wanaihubiri.....