Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Aisee hebu rudia kusoma tangia nilipoanza kuandika alafu uniambie wapi nimepinga..., (Mimi muumini wa to each his/her own siwezi kumpinga mtu kuhusu kitu zaidi ya kuonyesha loopholes kwenye premise yake)

Kuanzia mwanzo nimemwambia jamaa asiwashangae hao sababu kwanza monarchy ni just ceremonial na inawaingizia mapato, mbili angejishangaa yeye ambaye yupo katika defacto monarchy tena anaigharamikia kwa ulaghai kwamba ni demokrasia...

Aisee hivi hata unajua maana na features za hio commonwealth na ambayo sasa hivi wanataka walete modern commowealth ? Kuwa kwako Commonwealth hakuna tofauti na kama ulivyokuwa kwako kwenye Jumuiya yoyote ya nchi ambayo mna common goals au mnashare vitu fulani...,its purely voluntary hata mkitaka kesho mnaweza kujitoa...., for what benefit ? Nadhani hilo ndio swali muhimu...
We have alot of common ground on this.

👇🏿Kuanzia mwanzo nimemwambia jamaa asiwashangae hao sababu kwanza monarchy ni just ceremonial na inawaingizia mapato, mbili angejishangaa yeye ambaye yupo katika defacto monarchy tena anaigharamikia kwa ulaghai kwamba ni demokrasia...
Ndio nasema, ili kujiondoa kwenye adha hiyo, Tungo'ke huko. Kuna faida gani?
 
Well, He is "Not my King"

Ndugu, Nchi zilizo ndani ya Himaya ya Ufalme huo ndio wanaosema Ufalme "Umepitwa na Wakati"

Wacha porojo.

👇🏿https://edition.cnn.com/2022/09/16/europe/anti-monarchy-protests-police-intl-gbr/index.html

👇🏿
230507062948-02-coronation-protestors-050723.jpg
Hii nakumbuka ni wakati nafikiri Chaz alienda York na walikuwa wachache sana waliobeba mabango wakimkataa Chaz kama mfalme ingawa walikuwa wanampenda Queen na kumkubali
Walihojiwa mmoja wao akasema hafai kuwa mfalme
Ingawa wananchi wengi wanapenda wawepo
Nchi 15 zipo chini yake akiwa Mfalme wao
Ila atamuachia Mwanae soon
Kwa mimi naona sawa tu
 
Shida za maji ni za kutengeneza. Kukaa kwenye dawati pia hakumaanishi kwamba ndio utajua kusoma na kuandika.

Fikiria, mtu hufa baada ya siku chache kwa kukosa maji.

Unataka kusema kulikuwa na watu wanajifia tu kwasababu ya kukosa maji? For millions of Years?



Hao wazungu walivyokuja, Je hawakuwakuta Waafrika wakinywa maji masafi?
=======

Haya maji ya bombabi mnaoyadai ni masafi ni mchanganyiko wa vinyesi tu.

Na Sio wafalme wa kizungu waliogundua maji.

panua fuvu

Mmh kama kupanua fuvu ndio nakuja na output kama hii uliyoandika, hapana asee. I need no extension asee.

Kha!
 
It’s the sane

We now to the kwiin
Kuwa member ni kama kuwa member wa club fulani ya wadau ambapo umember wako unakupa some benefits ambazo member wengine hawana.... its purely voluntary

The current Commonwealth of Nations was formally constituted by the London Declaration in 1949, which modernised the community and established the member states as "free and equal".[8] It continues to be known colloquially as the British Commonwealth.[9]

The Head of the Commonwealth is Charles III. He is king of 15 member states, known as the Commonwealth realms, whilst 36 other members are republics, and five others have different monarchs. Although he became head upon the death of his mother, Elizabeth II, the position is not technically hereditary.[10]

Member states have no legal obligations to one another, though some have institutional links to other Commonwealth nations. Citizenship of a Commonwealth country affords benefits in some member countries, particularly in the United Kingdom, and Commonwealth countries are represented to one another by high commissions rather than embassies. The Commonwealth Charter defines their shared values of democracy, human rights and the rule of law,[11] as promoted by the quadrennial Commonwealth Games.


I
 
Hapana
Bwahahaha! Humu JF nzima hakuna mtu anayenipenda kama wewe aisee! Unajuwa mabandiko yako nilianza kuyapuuza tangu siku uliposhangaa UDSM kutoa shahada ya utabibu. Nikafahamu kabisa una shida kubwa....

Sasa leo ndiyo nikasema nisome unachoandika walau siku ile ulikuwa umepitiwa. Nilichokutana nacho kimenifanya nicheke, lakini kikubwa zaidi ni kiwango ambacho uko Obsessed na mimi.

Mara ya kwanza nilihisi labda wewe ni mwanamke, maana nimefuatilia na kushangaa kwamba kila nilichowahi kuandika humu JF lazima ulijibu. Kukusoma vizuri nikatambua kumbe wewe ni mwanaume. Nimeshangaa sana.....
Hapana bro jamaa analeta challenge ili angalau ufunguke zaid

Tunaofatilia ni wengi sana tunapenda kujifunza kupitia ninyi ambao MUNGU amewajalia kuitafuta elimu

Asanten sana endeleen kutuelimisha
 
Aisee, this is more than an obsession. Ndani ya uzi huu tu, umenijibu mara 7. Halafu unachojibu ni kama unalazimisha niongee na wewe. Dude are you straight ???
Usipanik kaka endeleen kutoa elimu naona unataka kutoka mchezon
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
We kwa nini Hadi Leo unapokea au inatoa mahari?

Kwenye suala La mfumo wa maisha Kila mtu anataratibu zake au Kila Jamii inataratibu zao na ziheshimiwe.

Mfumo wa kiutawala kwanza hatupaswi wote tufanane. Huku kutaka kufanana ndio kumepelekea vita nyingi sana duniani. Kuna kundi tola enzi na enzi wao ndio viongozi na wameweza kwenye kuongozwa ghafla tunataka Kiongozi achaguliwe kwa kura. Kura zenyewe za kuiba.

Africa kukiwa na mfumo wa machifu hakuna vita. Mifano ipo mingi somalia vs Eswatin, Morocco vs Rwanda etc

Kote huko aidha Kuna amani maana Kiongozi wao ni mfalme ama vurugu maana makundi yanataka uongozi
 
Naitwa nannyeje kupwaira kutoka lidumbi ntoni newala nalipanda jukwaa la dw kuitaka serikali ya uwingereza iachane mara moja na utawala wa kifalme naomba kulishuka jukwaa.
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Wadharau uwezavyoo yaani nasemaje we endelea kuwadharau tuu mkuu
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Hata mimi binafasi sipendi huo mfumo.

Lakini kwa upande mwingine, mfano ungekuwa mdengereko, halafu karibia dunia nzima inatumia kidengereko kama lugha yao ya mawasiliano na hata kazini na kwenye masomo.

Hapo usingeweza kudharau wala kuchukia utawala wa chifu wako wa kidengereko.

The fact kwamba waliitawala dunia na influence yao bado ipo, hilo linawapa “upper hand “ ya kuheshimiwa na kuendelea kukubalik na waingereza walio wengi. Ndiyo maana wana savaivu kashfa nyingi tu.

Unadhani Kwanini rais wa marekani lazima atie timu kule akishinda?
 
Utawala wa kifalme uingereza hauna athari yoyote as long as democrasia yao ipo imara. Kiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
Anaweza asiwe na mamlaka, lakini ana influence kubwa kwenye maamuzi ya wenye hayo mamlaka. Na wenye mamlaka lazima wapate baraka zao.
 
Back
Top Bottom