Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel inawafikia kunako
Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wameliwa vichwa, Wiki iliyopita walimla kichwa kiongozi wa Hezbollah, wiki hio hio wakamla kichwa alietaka kuichukua nafasi hio, Leo hii wamekula kichwa cha Kamanda mkuu wa isafirishaji ndani ya Hebollah,
Huko Iran ngome kuu, Rais alitunguliwa kwenye helikopta, wiki hii wamekula kichwa kingine cha kamanda mkuu wa Quds kitengo cha jeshi kikubwa zaidi Iran.
Viongozi kibao wa Hamas wameliwa vichwa akiwemo kamanda mkuu alietegewa bomu chini ya kitanda akiwa ikulu ndogo ya Iran yenye ulinzi wa special forces akisubiria uapisho wa rais mpya.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel inawafikia kunako
Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wameliwa vichwa, Wiki iliyopita walimla kichwa kiongozi wa Hezbollah, wiki hio hio wakamla kichwa alietaka kuichukua nafasi hio, Leo hii wamekula kichwa cha Kamanda mkuu wa isafirishaji ndani ya Hebollah,
Huko Iran ngome kuu, Rais alitunguliwa kwenye helikopta, wiki hii wamekula kichwa kingine cha kamanda mkuu wa Quds kitengo cha jeshi kikubwa zaidi Iran.
Viongozi kibao wa Hamas wameliwa vichwa akiwemo kamanda mkuu alietegewa bomu chini ya kitanda akiwa ikulu ndogo ya Iran yenye ulinzi wa special forces akisubiria uapisho wa rais mpya.