Nawaheshimu sana walimu, lakini mwalimu yeyote akimfanyia mtoto wangu kama inavyoonyesha picha hii nitamtafuta kokote alipo tumalizane

Mnao miaka kadhaa nikiwa darasa la sita...nilipigwa kipigo cha Mbwa koko baada ya Mwalimu kunichanganya na mchelewaji maarufu wa shule.

Alipokuja kugundua sio mimi ilikuwa imeshapita..fimbo na mateke yaliniweka chini.Wanafunzi wenzangu walipiga kelele.

Toka hiyo siku shule nikawa nachelewa na kuja nilovyojisikia mpaka nilipo maliza.

Ilikuwaje,nilimfuata Mwalimu kwa wakati tofauti ambao yeye hakutegemea wakiwa ofisini na wenzake.
Nikamweleza mbele ya wenzake kuwa ulichofanya ni kitu kibaya sana na familia yangu ita deal na wewe taratibu.
Aisee ni kisa kirefu sana....alikuja kuwa rafiki yangu sana.
 




Haya mambo ya kuchapana tulijifundisha kutoka kwa wazungu.
Inasikitisha sana

 
Wewe ni famba yaan mwalimu afutwe kazi akimuonya mtoto mpumbavu ..? Mtoto asie na maadili wala asiefundishika. Kuna watoto hata wakipigwa na kupewa ng'eu ni kidgo ukilinganisha na matendo yao..
 
Nimesoma pahala hapa JF kuna Mwalimu wa shule ya muhimbili miaka ya nyuma aliyekuwa akichapa fimbo kwa spidi ya cherehani. Sikuamini, ila nina anko wangu aliyesomea nyakati hizo shule ya Tambaza iliyokuwa jirani pia aliwahi kunihadithia.
Chakushangaza, ndipo wazazi walikuwa wakipenda kuwasomesha watoto zao hapo, na baadhi ya watoto hao ni viongozi katika nafasi mbalimbali serikalini na taasisi kubwa tu nchini.

Cjui shida ni nini? Watoto wamekuwa na viburi na wakorofi ama walimu ndo hivo
 
Ndo umetuliza akili ukaja na post kama hii!!!!! ......... Hawaishi duniani.
 
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Jamani, uchapaji gani huu? 😭😭
Utafikiri sio binadamu.

Hii sijui ni shule gani?
 
Huyo mwalimu ana msongo tu wa mawazo,Walimu saizi hawana mda na mambo ya bakora yalishapitwa na wakati,
Walimu saizi wanachapa mkia binti za shule siyo bakora,kama sivyo bas wapo busy kutafuta pesa mtaani muda wa vipindi
 
Ulimtishia watamloga? Ukiwa unatoka Sumbawanga that works! Mwambie tutakuweka mbususu kwenye paji la uso hakugusi tena hata ufanye nini!
 
Mimi kama mwalimu ukiniletea ushenzi wako tunamalizana kama unavyotaka. Huwa nawataka sana wazazi wapuuzi kama wewe waje shuleni tumalizane. Kama vipi chukua toto lako kalifundishe mwenye nyumbani kwako, sipendagi ujinga
Hawa wajinga ndio wanasababisha watoto wao kuwa machoko....mwalimu hawezi kuwa mpuuzi ampige mwanafunzi kiasi hicho halafu hizo adhabu ni zakawaida tu,,,niliwahi kuzingua nyumbani mama akanikata kisu mkononi na mpaka leo nina hilo kovu ila yote kwa yote lengo lilikuwa ni kurejesha nidhamu
 
Unataka kusema nini yaani? Kwa kipindi chake ulitarajia asome kozi gani nyepesi zaidi ya ualimu?

Hiyo ndiyo kozi pekee ambayo binadamu yeyote anaweza kusoma na usipate Supplementary wala discontinuation hadi unahitimu.
Nini maana ya mwalimu? Namaanisha mwalimu ni nani?
 
Wewe dogo hauna familia ila unaleta stor za kusadikika...kwasababu sisi tulio na familia hatuwi na mawazo kuku kama yako
 
Basi inawezekana kufanya hivyo kwa watoto pia. Shuleni tukifanya kosa kubwa tulikuwa tunakuwa suspended mwezi mmoja
ndio nilichoandika hapo juu aina hiyo ya adhabu ni kumtoa mtoto darasani aende kwao akamlete mzazi wake kuliko kumbamiza akafa bure
 
Eti nawewe ni platinum member
 
Duh mimi ni mwalimu , naomba screenshot Salio lako bank na mimi ukifanya hivyo nascreen Salio langu bank halafu tutasoma nani Hana mwelekeo wa maisha kati yetu , ntataja namba zangu za olevel, na advance na wewe utaje tuone nani alikuwa kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…