Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
- Thread starter
-
- #21
Kijesh jesh mkuu ndo ujanja.. hahahahMi wananikera sana mtu kafa leo na leoleo wanazika, tena wanaikimbiza maiti kwenda makaburini. Kule tu kukimbia na maiti kuwahi kuzika naona kama ni imani tu ya kishenzi, unakimbizaje maiti vile?
Asante kwa elimu, tunajifunzaHizo ni sheria za mwenyezimungu alizo muelekeza mtume wake muhammad kwamba kunavitu vitatu ambavyo havitakowo kucheleweshwa 1.mtu akitaka kuongia kwenye uislam 2. Ndoa 3. Mtu anapokua amefariki
Kuna siasa nyingi sana kwenye hicho kinachoitwa matayarisho ya kuzika. Ndo maana mimi sitachelewesha hili tukio, nahisi huko mbeleni nitagombana sana na watu kwenye hiliMtu akifa hakuna haja ya kumzika harakaharaka bila sababu za msingi ndio maana kuna dawa za kuzuwia maiti kuoza na mochwari zipo ili kusubiri matayarisho ya kuzika yakamilike
Sasa kuna faida gani pumzi ishakata uendelee kuwa duniani??Unataka kuzikwa haraka unajua unapoenda
Walau masaa 24 tu na isizidi siku mbiliWatu huwa wanazikwa wakiwa hai. Nina ushahidi kule kwetu Kuna mtu alizima masaa zaidi ya 7 ila ilibidi wazike kesho yake lakini jamaa aliamka na Hali Leo mzima. Sasa tungezika haraka si tungekuwa tumeua sisi??
Angalau marehemu akae hata masaa 10+ ndo azikwe Kuna faida yake pia
😂😂 Wanawahi viwanjaMi wananikera sana mtu kafa leo na leoleo wanazika, tena wanaikimbiza maiti kwenda makaburini. Kule tu kukimbia na maiti kuwahi kuzika naona kama ni imani tu ya kishenzi, unakimbizaje maiti vile?
Namaanisha ile speed tu lakini kwenye kuandaa mwili itakuwa tu kawaidawakukamue kinyesi chote na sijui hutumia njia Gani kweli....shauri yako
Nimecheka hadi machozi ila wewe😆Uanruhusiwa mkuu Tena andika usizikwe na jeneza wakuingize kule PEMBEN mwamba ili BAADA yukihitaji kuongeza mwingine HAPO tusiteseke tunachimba PEMBEN tu
Hahahaha au sio mkuu wangu, hamna wanizike tu kwa jeneza ila iwe chap chap kijeshiUanruhusiwa mkuu Tena andika usizikwe na jeneza wakuingize kule PEMBEN mwamba ili BAADA yukihitaji kuongeza mwingine HAPO tusiteseke tunachimba PEMBEN tu
Hiyo hapana mkuu, yaani kinachobadilika ni speed tu, other factors remain constantWaambie uchomwe moto kama baniani
Nimejiuliza hivo hivo, saa nyingine nahisi huwa ni story sema huwez kuzipinga...Masaa 7 hapumui alikuwa anapataje Oksijeni? Hakuwa na permanent brain damage?
Sema hii inabidi uwe na imani fulani kabla, kwamba mwili ni kama boksi tu la mbaoHili wazo huwa linanijia. Kufukiwa na kuliwa na mafunza huwa akili inagoma kabisa sema tu sijui kama katika imani ya Kikristo kuchomwa haina madhara kiroho. Mtu unachomwa wapendwa wako wanabaki na kimkebe tu cha majivu yako kwisha kazi. Cha muhimu tu ni kwamba matter can neither be created no destroyed.
Nafuatilia hii ishu vizuri aisee
Tatizo nimeathiriwa na risk management, so ni muhimu kujipanga kwa loloteMtu anaumwa unamuwazia kifo 🤔🤔
Hilo hata kwenye ukiristo linawezekana tu. Andaa mazingira, weka wosia.Naifikiria sana hii kitu pale mtu anapoachwa wiki nzima hajazikwa, huwa inakuwaga huzuni mara mbili kwa wafiwa.
Solution ya hii kitu nimegundua ni mtu kuzikwa fasta fasta na sio kuchelewa zaidi ya siku mbili.
Mwaka jana kwenye family yangu kuna mtu aliumwa kinoma, nikajisemea hapa akifa nazika kesho. Ila nashukuru Mungu alimponya.
Kongole waislamu, hapo tu ndo nawakubaligi chap chap kijeshi.
Ramadhani Kareem!
Mwendo wa haraka ndo mpangoMaiti haikimbizwi bali inapelekwa kwa mwendo wa haraka, ukifa utaenda kukutana na uliyoyatanguliza, kama ni mwema uwahi maisha yako mazuri uachane na tabu za dunia, kama ni muovu utuondolee balaa nyumbani.
Kabisa aisee, sioni ufahari kwenye kumuweka maiti mda mrefuTatizo kuna watu wanadhani kumzungusha maiti mikoani au kumvundika ndio vyema zaidi
Ila kuna wengine wanasema tunazika haraka labda bado ana uhai
Hivi hata mende akiwa kafa utashindwa kujua kama ana uhai au hana?
Binadamu mbwembwe nyingi na mwisho wa siku unazika tu
Sawa mkuu nitafanya hivo nahisiHilo hata kwenye ukiristo linawezekana tu. Andaa mazingira, weka wosia.
Na sio waislam wote wanazikwa siku hiyo hiyo.
Hiyo ya kuzikwa hapo hapo hapana aisee, hoja yangu imejikita kwenye speed tuungebadili dini uwe muisilam ili ukifa uzikwe hapo hapo