Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

Nawakubali sana Waislamu kwenye kuzika, nawaza niweke kwenye wosia wangu nikifa nizikwe isizidi masaa 24

Matayarisho ni nini?! Yaani mnachotayarisha ni nini?! Na hayo matayarisho yanahitaji nini na nini?! Ninachokiona kwa wasio waislamu ni kufanya msiba ni kama sharehe!,
Watu kula , kunywa na kucheza muziki!.
Kwetu sisi akifa muislamu kinachotakiwa ni mambo manne tu ya msingi na ya lazima!.
1️⃣Kumuosha maiti.
2️⃣ Kumvika sanda.
3️⃣ Kumswalia.
4️⃣ Kumzika na mambo yote manne hayamalizi hata masaa matano kila kitu tumemaliza.
juzi kati nilihudhuria msiba wa jirani muislam, walimfanyia haya yote unayoyasema, fasta wakajisahau wakatoa mwili nje uswaliwe kabla watu hawajala ndio waende kuzika, zoezi la kula likapuuzwa watu wakaubeba mwili tayari kuelekea makaburini kuzika fasta. Eti kurudi tena kwenye nyumba ya msiba kula, walirudi wachache na wengi hawakurudi kula wakalaumiwa kwa nini wasile kilichoandaliwa ili kuheshimu nyumba iliyopata msiba. wakaambiwa na wao wataachiwa vyakula vyao siku wakipata msiba. watu hawakupenda ugali kwa chainizi
 
juzi kati nilihudhuria msiba wa jirani muislam, walimfanyia haya yote unayoyasema, fasta wakajisahau wakatoa mwili nje uswaliwe kabla watu hawajala ndio waende kuzika, zoezi la kula likapuuzwa watu wakaubeba mwili tayari kuelekea makaburini kuzika fasta. Eti kurudi tena kwenye nyumba ya msiba kula, walirudi wachache na wengi hawakurudi kula wakalaumiwa kwa nini wasile kilichoandaliwa ili kuheshimu nyumba iliyopata msiba. wakaambiwa na wao wataachiwa vyakula vyao siku wakipata msiba. watu hawakupenda ugali kwa chainizi
Nikufahamishe tu kwamba swala la kupika chakula msibani linawagawa waislamu pande mbili!
Kuna kundi kubwa sana la waislamu wanaopika wakifiwa kwa ajili ya kuwakirimu watu wanaokuja kushiriki msiba na kutoa pole kwa wafiwa .
( sikutumia neno WAOMBOLEZAJI kwa sababu neno hili liko kinyume na imani ya kiislamu inayokataza kuomboleza ( النياحة Anniyaaha )).
Kundi la pili ambalo lina watu wachache Mimi nikiwa mmoja wao tunaona kwamba kulingana na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وآله وسلم haifai kupika chakula kuwakirimu watu waliokuja kushiriki msiba na kutoa pole kwakuwa kitendo hicho zama za mtume kilihesabiwa kuwa ni katika maombolezo yaliyoharanishwa.!
Kwahiyo mimi ninapoenda msibani hata wangekuwa wamepika chakula nikipendacho kushinda vyote Mimi huwa sili chakula cha msibani kwakuwa najua walioandaa chakula hicho wamefanya kinyume na mafundisho ya dini ya kiislamu.
 
Mbona miaka ya nyuma tukitoka kuzika tunarudi nyumbani kwa wafiwa tulipewa kikombe cha uji?
 
Namaanisha ile speed tu lakini kwenye kuandaa mwili itakuwa tu kawaida
mkopo ....lazima usafishwe nya...hofu yangu njia inayotumika ...ole wenu tuje tuwakute mbinguni Kwa baba mmetepeta....shughuli za shamba zinawashinda kama wahindi wekundi MAREKaNi
 
Inahuzunisha sana
Huku Ulaya mambo ni tofauti kabisa
Kwanza mnapewa ratiba ya mazishi
Mnaenda Msikitini mnaondoka mpaka maleloni
Mkizika au kumsitiri basi mtaambiwa kuna mlo umeandaliwa Hoteli fulani wote muende huko
Baada ya hapo mnatawanyika kila mmoja anafuata shughuli zake

Sisi mambo ni tofauti kabisa watu hawqna Imani
Wanadhani wanawafariji wafiwa kumbe wanazidi kuwaumiza

Mungu atusamehe
Aaaamyn.
 
Nikufahamishe tu kwamba swala la kupika chakula msibani linawagawa waislamu pande mbili!
Kuna kundi kubwa sana la waislamu wanaopika wakifiwa kwa ajili ya kuwakirimu watu wanaokuja kushiriki msiba na kutoa pole kwa wafiwa .
( sikutumia neno WAOMBOLEZAJI kwa sababu neno hili liko kinyume na imani ya kiislamu inayokataza kuomboleza ( النياحة Anniyaaha )).
Kundi la pili ambalo lina watu wachache Mimi nikiwa mmoja wao tunaona kwamba kulingana na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وآله وسلم haifai kupika chakula kuwakirimu watu waliokuja kushiriki msiba na kutoa pole kwakuwa kitendo hicho zama za mtume kilihesabiwa kuwa ni katika maombolezo yaliyoharanishwa.!
Kwahiyo mimi ninapoenda msibani hata wangekuwa wamepika chakula nikipendacho kushinda vyote Mimi huwa sili chakula cha msibani kwakuwa najua walioandaa chakula hicho wamefanya kinyume na mafundisho ya dini ya kiislamu.
You said it all head chief.
.زادك الله علما، بارك الله فيك
 
Mi wananikera sana mtu kafa leo na leoleo wanazika, tena wanaikimbiza maiti kwenda makaburini. Kule tu kukimbia na maiti kuwahi kuzika naona kama ni imani tu ya kishenzi, unakimbizaje maiti vile?
Kuna jamaa alitoka asibushi zanzaibar akasindikizwa na mkewe kwenye boti kuja dar, bahati mbaya mkwewe wakati anarudi nyumban akagongwa na gari na kufariki papo hapo. Aliporudi jion kagikia kuoneshwa kaburi la mkewe
 
Kuna jamaa alitoka asibushi zanzaibar akasindikizwa na mkewe kwenye boti kuja dar, bahati mbaya mkwewe wakati anarudi nyumban akagongwa na gari na kufariki papo hapo. Aliporudi jion kagikia kuoneshwa kaburi la mkewe
waislam wanasema huwa hawasubiri mtu toka mbali aje ndio wazike, utakuta mpendwa wako keisha zikwa fasta, utaratibu mbaya sana huu
 
acheni kukimbia na maiti kuzika, mtakuja kuzika aliyezimia mkidhani amekufa, taratibu masheikh msiwe na haraka kuzika
Wewe ukiona panya kafa kwako chapchap unamtupa kwanini
Mbona huhakikishi kama kafa?

Huwa najiuliza pia nyie mnaowaweka mpaka siku zaidi ya 3 hoja yenu ni kuwa watafufuka kumbe?

Ndio maana hata Pope akifa lazima apigwe nyundo mara 3 kuhakikisha kama kafa ingawa kuna vipimo vya kila aina

Je ndio ukweli huu kuwa mnasubiri labda wataamka?
Basi ina maana wengi wenu hamuamini kifo
Kama mpaka Pope anapigwa nyundo
 
Wewe ukiona panya kafa kwako chapchap unamtupa kwanini
Mbona huhakikishi kama kafa?

Huwa najiuliza pia nyie mnaowaweka mpaka siku zaidi ya 3 hoja yenu ni kuwa watafufuka kumbe?

Ndio maana hata Pope akifa lazima apigwe nyundo mara 3 kuhakikisha kama kafa ingawa kuna vipimo vya kila aina

Je ndio ukweli huu kuwa mnasubiri labda wataamka?
Basi ina maana wengi wenu hamuamini kifo
Kama mpaka Pope anapigwa nyundo
msiwe mnazika haraharaka wandungu
 
msiwe mnazika haraharaka wandungu
Kiumbe akifa utajua hata kama sio daktari
Umesubiria na kukaa na maiti zaidi ya wiki
Naomba ushahidi nani aliwahi kuamka?
Kuna kuzimia au kupoteza fahamu, lakini sio kwa masiku

Ila sisi tukifiwa na kuthibitisha amekufa tunazika
Unafikiri hatuna hisia na upendo kwa wapendwa wetu?
Kwanza tumeusiwa mtu akifa popote azikiwe mahali alipofia
Mimi nikifia London ntazikwa hapa hapa ingawa za kusafirisha zinapatikana
Huo ndio utaratibu wetu

Unakuta maiti inatoka Dar inapelekwa Mbeya njiani ajali wanakufa wengine je ni haki?
Huenda ikafika salama ila ni utaratibu wa watu walivyopanga

Ingawa wapo wanaofika salama
 
Back
Top Bottom