Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Jeneza anachukua SEHEMU za watu mkuuHahahaha au sio mkuu wangu, hamna wanizike tu kwa jeneza ila iwe chap chap kijeshi
Unajua huku mbezi beach kunanmakaburi ya luventri mkuu huko asixikwe nduguyakoooo YAAN ukiona kazikiwa UJUE kampandia mwingine
Sasa Hawa WA dini yetu nawapenda hawachukui SEHEMU KUBWA YAAN ikitokea tunaenda kuxika waislam huwa pale KATIKATI yakaburi ndio tinachimba tunaweka mwingine
Huko HATA serikali za mitaa wamewashindwa