Jeneza anachukua SEHEMU za watu mkuuHahahaha au sio mkuu wangu, hamna wanizike tu kwa jeneza ila iwe chap chap kijeshi
Hao ambao hawakimbizwi huwa wanarudi tena duniani?Mi wananikera sana mtu kafa leo na leoleo wanazika, tena wanaikimbiza maiti kwenda makaburini. Kule tu kukimbia na maiti kuwahi kuzika naona kama ni imani tu ya kishenzi, unakimbizaje maiti vile?
Huwa nashangaa sana halafu wengine harufu mpaka keroKabisa aisee, sioni ufahari kwenye kumuweka maiti mda mrefu
Matayarisho ni nini?! Yaani mnachotayarisha ni nini?! Na hayo matayarisho yanahitaji nini na nini?! Ninachokiona kwa wasio waislamu ni kufanya msiba ni kama sharehe!,Mtu akifa hakuna haja ya kumzika harakaharaka bila sababu za msingi ndio maana kuna dawa za kuzuwia maiti kuoza na mochwari zipo ili kusubiri matayarisho ya kuzika yakamilike
Kwani hata asipozikwa haraka ndio hatoenda?!Unataka kuzikwa haraka unajua unapoenda
Sisi huwa hatuziki hadi daktari athibitishe kuwa mtu kafa baada ya hapo tunaenda kuchimba kaburi.Watu huwa wanazikwa wakiwa hai. Nina ushahidi kule kwetu Kuna mtu alizima masaa zaidi ya 7 ila ilibidi wazike kesho yake lakini jamaa aliamka na Hali Leo mzima. Sasa tungezika haraka si tungekuwa tumeua sisi??
Angalau marehemu akae hata masaa 10+ ndo azikwe Kuna faida yake pia
Mtu ambaye siyo mwislamu hawezi zikwa kiislamu!.Uanruhusiwa mkuu Tena andika usizikwe na jeneza wakuingize kule PEMBEN mwamba ili BAADA yukihitaji kuongeza mwingine HAPO tusiteseke tunachimba PEMBEN tu
Huyu atazikwa na WAZAZI wake atakamuliwa na NDUGU zake lakn sio waislamMtu ambaye siyo mwislamu hawezi zikwa kiislamu!.
Na maanisha hawezi oshwa na waislamu, kuvikwa sanda na waislamu, kuswaliwa na waislamu na kuzikwa na waislamu.
Labda akiusia watu wa dini yake wamfanyie kama waislamu wanavyowafanyia maiti wao wakikubali hapo sawa.
Mambo ya mazishi yanaingia kwenye kauli ya Allaah aliposema:
"{ لَكُمۡ دِينُكُمۡ وَلِيَ دِينِ }
[Surah Al-Kāfirūn: 6]
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu."
Nimemuuliza anapajua anapoenda na Wala sijasema hatoenda kiongoziKwani hata asipozikwa haraka ndio hatoenda?!
Hakuna faida mkuu me mwenyew nahitaji speed ya ambulanceSasa kuna faida gani pumzi ishakata uendelee kuwa duniani??
Hili wazo huwa linanijia. Kufukiwa na kuliwa na mafunza huwa akili inagoma kabisa sema tu sijui kama katika imani ya Kikristo kuchomwa haina madhara kiroho. Mtu unachomwa wapendwa wako wanabaki na kimkebe tu cha majivu yako kwisha kazi. Cha muhimu tu ni kwamba matter can neither be created no destroyed.
Nafuatilia hii ishu vizuri aisee
Wewe ni Muhaya ?!Msinichoshe na mambo mengi
Kuzikwa siku hiyo uwongo ndugu zangu wa ujerumani, Nairobi na dasilamu mpka wafike,
Sawa mkuu nimekusoma ila usiwaze hivyo siyo vizuriTatizo nimeathiriwa na risk management, so ni muhimu kujipanga kwa lolote
Nyinyi wakristo mnaamini yesu alikufa na kuzikwa ! Swali ni je , Yesu alivyokufa kulingana na imani yenuHivi mnaoongeaga vitu kama hichi mnakuwaga wazima au??!!indio dalili za kichaa wewe kama unaona hupendi tokaa nenda huko kwenye uislam kwani kuna mtu kakushika??!!ukristo upo tangu miaka alfu iweje wewe uje ulopoke utumbo now🙄🙄🙄🙄 hebu tokaa hapa kaa kimya ukiona tofauti sepa kimya huwa siwaelewagi watu kama nyie
Hapana sio muhaya mkuuWewe ni Muhaya ?!