Kofianyeupe
Member
- Mar 8, 2020
- 95
- 94
Ww nenda kwenye vikao vya CCM chukua fulana na 20,000. Uza kura yako. Sisi wengine tusiokuwa na njaa za kipuuzi tutachanga.Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?