Uchaguzi 2020 Nawamegea siri: 'Bakuli la Lissu' lijazwe michango, linasaidia kuruka kiunzi kikuu mwaka huu

Uchaguzi 2020 Nawamegea siri: 'Bakuli la Lissu' lijazwe michango, linasaidia kuruka kiunzi kikuu mwaka huu

Wameamua kutembea na Magufuli siyo nyie viwavi jeshi msiotaka kusikia harufu ya pesa
hamna tabu wakitembea na maguful na hata maguful akishinda hakuna neno kabisa lakin ashinde kiuhalal ndan ya sanduku la kura, kinyume cha hapo akishinda kimagumashi kama alivyoanza kuwaondoa wabunge na madiwan wa upinzani kimagumushi basi tunaye...tutadili naye nje ndan
 
wewe ndo huelewei nyumbu mkubwa wewe. hivi toka Chadema wameanza kupokea ruzuku 2016 mpaka leo ni takribani bilioni 40. wamezifanyia nini? hawajajenga hata ofisi za wilaya. bado kuna michango ya wabunge walikua wanachukua kila mwezi viti maalum mil.2 na wabunge wa majimbo mil 1.5. fedha hizi zote walishindwa kutenga fedha za kugharamia uchaguzi? waache kuwatapeli watanzania

Uko sahihi kabisa na hoja yako naikubali sana. Ccm ni chama pekee kilichokaa madarakani muda wote ndani ya nchi hii. Asilimia 75 ya majengo yake, zikiwemo ofisi na viwanja vya mpira ilivirithi toka mfumo wa chama kimoja. Pitia hizo ofisi zote na viwanja vya mpira uje utoe mrejesho vina hali gani, na ni mabadiliko gani yamefanyika toka irithi mali hizo. Hapo tutaweza kupima vizuri udhaifu wa Cdm v/s ccm.
 
Mtu yeyote ambaye hayuko tayari kuchangia chama ama timu yake kwa hali na mali ni mwanachama mfu.There is no blah blah on this-ni rahisi kiivyo
 
Uko sahihi kabisa na hoja yako naikubali sana. Ccm ni chama pekee kilichokaa madarakani muda wote ndani ya nchi hii. Asilimia 75 ya majengo yake, zikiwemo ofisi na viwanja vya mpira ilivirithi toka mfumo wa chama kimoja. Pitia hizo ofisi zote na viwanja vya mpira uje utoe mrejesho vina hali gani, na ni mabadiliko gani yamefanyika toka irithi mali hizo. Hapo tutaweza kupima vizuri udhaifu wa Cdm v/s ccm.
Udhaifu upo kila sehemu. Kwasbabu hizi taasisi zinaongozwa na watu siyo malaika. Lakini angalau CCM ilianza kuchukua hatua ya kuhakiki mali zake ambazo nyingi zilikua hazikinufaishi chama bali watu wachache. Chadema kama chama kinachopigania kuchukua dola, kilitakiwa kitumie kila rasilimali iliyonayo kuhakikisha inazielekeza kwenye malengo hayo. Lakini cha ajabu rasimali chache ilizonazo zinaishia kwenye mikono ya wachache. Sasa hiyo ndoto ya kuchukua dola wataifikia lini?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Udhaifu upo kila sehemu. Kwasbabu hizi taasisi zinaongozwa na watu siyo malaika. Lakini angalau CCM ilianza kuchukua hatua ya kuhakiki mali zake ambazo nyingi zilikua hazikinufaishi chama bali watu wachache. Chadema kama chama kinachopigania kuchukua dola, kilitakiwa kitumie kila rasilimali iliyonayo kuhakikisha inazielekeza kwenye malengo hayo. Lakini cha ajabu rasimali chache ilizonazo zinaishia kwenye mikono ya wachache. Sasa hiyo ndoto ya kuchukua dola wataifikia lini?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app

Ahaaaa ahaaaa nimecheka kwa nguvu ile mbaya. Ccm ilichukua hatua ya kuhakiki mali zake na Bashiru akasema ataweka hiyo ripoti hadharani. Je umewahi kuiona hiyo ripoti mpaka leo? Tuache hilo la ripoti maana haliwezekani, je hizo ofisi na viwanja vya mpira hadi tunapozungumza zina hali gani? Kwani ccm/Tanu ilichukua nchi baada ya kumiliki rasilimali kiasi gani, ili tujue unahitaji kuwa na raslimali asilimia ngapi ndio uchukue dola? Sitetei udhaifu, ila nataka kupima uwezo wa wanaomiliki mali za urithi mpaka leo wana tofauti gani na wasio na chochote.
 
Inaonekana kama kiti cha enzi cha shetani 2015 kilitolewa kilipokuwa na kusimikwa magogoni
 
Lissu ni mpango wa Mungu kwa Watanzania. Haiwezekani kawaida tu mtu akapona risasi 16 alafu asiwe mpango wa Mungu.

Mwaka huu historia kuu ya kuangushwa Chama cha mapinduzi inaenda kuandikwa Tanzania.
Mungu tu pamoja na Lissu!
hata mie naamini kamanda!
Kitendo cha risasi 16 kupigwa kutokea kushoto, zikaukwepa mguu wa kushoto kisha zikakata kona kuupiga mguu wa kulia ili kumuokoa dereva aliyekuwa amekaa kulia kwa Lisu - Huo lazima uwe muujiza.
 
Back
Top Bottom