Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Unafiki huu,uongo,na uzandiki.Mungu anakuona
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Umesamehewa. Na ijulikane wazi kuwa Magu hakuwahi kuwa mtu mzuri kwa uongozi tangu mwanzo. Ameacha majeraha makubwa yasiyofutika kwa miaka mingi na ni fundisho kubwa kwa wapiga kura na watanzania wote kuwa tunahitaji kurekebisha katiba tuliyonayo la sivyo wapo akina Magu wengine wanakuja. Nani anajua kuwa SSH hatawaumiza watanzania hata kama ni kwa staili nyingine, mbona tayari watu wanaumia kwa tozo zilizo kubwa na nyingi kila mahali? Katiba yetu inaruhusu viongozi kufanya wapendavyo na hakuna wa kuwapinga.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Najaribu kupima maono yako na huu msamaha unaoomba hapa naona Kama havihusiani,,

Hivi we dhana ya uhuru unaitafsirije na unaichukuliaje..

Hakuna uhuru usio na mipaka kiongozi!!

Hata kama ukiwa uko mwenyew chumban ni lazima ujinyime baadhi ya uhuru ili mambo yako yaende sawa..

Huaga sijui nawaonaje watu wanaojadili Jambo lililopita ambalo huwez badili chochote katika maisha ya sasa!!

Kama wakati huo ulifanya hivo kwa kuona ulikuwa sahihi? Je nikipi kinakufanya kuwa wakati huu hili unalowaza juu yake liko sahih zaidi??
 
Gunzi la moto alilokutia magufuli mataconi bado linakuumiza sana, hivi hauonagi aibu kupambana na marehemu !? shame on ptuuuuuuu i spit on you.
Na yeye tumemtanguliza Jehanam!! Daaadadeki!!! Usije kutoka Kolomije na ushamba wako ukawachezea vijana wa mjini, lazima tuku dedishe
 
Na yeye tumemtanguliza Jehanam!! Daaadadeki!!! Usije kutoka Kolomije na ushamba wako ukawachezea vijana wa mjini, lazima tuku dedishe
Hakuna asiejua hilo. Nyinyi mtaishi milele.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Mwenye mamlaka yooote chini ya mbingu na ardhi, Aliingilia Kati
 
Tuambie wewe watu waliofanyiwa ukatili na kuuawa wanarejeshwaje?
Magufuli hakufuata mtu yeyote (arbitrary) majumbani au ofisini mwao bila kosa na kuwapoteza.
Vinginevyo wote humu tungekuwa tumepotezwa...

Ukichokoza mzinga wa nyuki basi ukubaliane na madhara yake. Wachache sana waliopotezwa waliiingizwa kwenye mkumbo kimakosa au bila kosa.
 
Magufuli hakufuata mtu yeyote (arbitrary) majumbani au ofisini mwao bila kosa na kuwapoteza.
Vinginevyo wote humu tungekuwa tumepotezwa...

Ukichokoza mzinga wa nyuki basi ukubaliane na madhara yake. Wachache sana waliopotezwa waliiingizwa kwenye mkumbo kimakosa au bila kosa.
Hizi kauli ni za kusikitisha sana. Yaani raisi aliyepata madaraka kidemokrasia ndio awe na mamlaka ya kupoteza watu?

Mnafahamu maana ya utawala wa sheria? Kama mtu anavunja sheria kwanini asipelekwe mahakamani?

Ndio maana mimi ninaamini Magufuli hastahili kuwa na hadhi yoyote katika nchi hii.
 
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.

Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata sheria hivyo siku moja nilikutana na Mkapa nikawa namsifia sana huyo waziri. Najua Mkapa alikuwa anampenda Magufuli kama kijana wake lakini watu tulipokuwa tunamtaja mbele yake akapata hamasa sana kumpigania apitishwe.

Bahati mbaya Magufuli alipopata uraisi alibadilika sana na kuacha kufuata sheria na katiba. Hakutaka uhuru wa habari wala changamoto yoyote ya kimawazo. Aligeuka kuwa katili na msema hovyo. Aligeuka akawa muongo sana, aliendesha nchi kwa mikopo lakini anadanganya ni fedha za ndani. Aliua uwekezaji.

Wote tulibaki mdomo wazi kwa aliyoyafanya. Watanzania naomba mnisamehe.
Yule mzee hakufaa kabisa
 
  • Kwenye aya ya mwisho "Wote tulibaki midomo wazo....". Natamani ungeorodhesha hao wote mliobaki midomo wazi kwa majina.
  • Naamini yale makosa hayatajirudia tena
 
Back
Top Bottom