Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Asante kwa kumpendekeza JPM kwa Mkapa...

Purpose yako ushaitimiza...unaeza ukapotea tu huna maana tena kwa taifa hili...
Mbona hasira sana? Kila mtu atekeleze katika sehemu yake.
 
Kila mtu anaruhusiwa kutafsiri mambo kwa namna anavyopenda. Mimi ninazo taarifa za ndani ndio maana nimeona hekima kuomba radhi.

Mtu yeyote anaweza kujenga chochote kwa kukopa hela. Hakuna intelligence yoyote hapo ndio maana hiyo miradi inaendelea kujengwa hata sasa kwasababu ni mipango ya serikali.

Tuambie wewe watu waliofanyiwa ukatili na kuuawa wanarejeshwaje?


Shout Up!!...Wanawake wanauwawa kikatili na wanaume zao kila siku kisa vikoba au wivu wamapenzi...sembuse wahujumu uchumi....

Na wewe upotee tu...Huna maana
 
Kuua watu hali nawe ni mfu mtarajiwa ni kujilisha upepo
 

Attachments

  • Screenshot_20220908_212153.jpg
    Screenshot_20220908_212153.jpg
    107.9 KB · Views: 3
Kwahio huyu aliyopo sasa ni All Right ???!!!!!!

Nadhani huu muda tungeutumia kuganga ya Sasa wala sio Yaliyopita ambayo si Ndwele basi tungeisaidia nchi yetu...

Au tunangoja huyu akishatoka ndio tuanze kumzodoa ?!!!


Mfa maji haishi kutapatapa...ngoma nzito ishawalemea
 
Kila mtu anaruhusiwa kutafsiri mambo kwa namna anavyopenda. Mimi ninazo taarifa za ndani ndio maana nimeona hekima kuomba radhi.

Mtu yeyote anaweza kujenga chochote kwa kukopa hela. Hakuna intelligence yoyote hapo ndio maana hiyo miradi inaendelea kujengwa hata sasa kwasababu ni mipango ya serikali.

Tuambie wewe watu waliofanyiwa ukatili na kuuawa wanarejeshwaje?

Alowaua ni Nani??.

Et mtu yoyote anaweza kujenga chochote Kwa kukopa Hela....


Kikwete wakati anakopa alifanya nn?Mzee ruksa alifanyia nn? Mkapa alifanyia nn?? Au wao hawakukopa?


Mimi narudia kukuambia, JARIBU KUFICHA UJINGA WAKO .


NA JITAHIDI SANA KUA NA MAISHA YA KUPONGEZA MTU KWA UBORA WAKE.


HAMNA RAIS BORA, HAMNA RAIS BORAA KUTOKEA NCHI HIII BAADA YA BABA WA TAIFA ZAIDI YA JPM.
Hilo mlinywe, mlipokee na mkae nalo mioyoni .
 
Wauza
Mnajulikana tu ambao mlijenga chuki juu ya JPM!

Wauza ngada, vyeti feki, wanufaila wa wafanyakazi hewa, wezi na wazembe
Wauzaji unga, wafanyabiashara wakwep Kodi, vyeti Feki, walozoea Maisha ya Ujanja Ujanja mjini, Mafisadi ,na watu wa aina hiiii ....

Hawa ndo wanamchukia JPM sana
 
Alowaua ni Nani??.

Et mtu yoyote anaweza kujenga chochote Kwa kukopa Hela....


Kikwete wakati anakopa alifanya nn?Mzee ruksa alifanyia nn? Mkapa alifanyia nn?? Au wao hawakukopa?


Mimi narudia kukuambia, JARIBU KUFICHA UJINGA WAKO .


NA JITAHIDI SANA KUA NA MAISHA YA KUPONGEZA MTU KWA UBORA WAKE.


HAMNA RAIS BORA, HAMNA RAIS BORAA KUTOKEA NCHI HIII BAADA YA BABA WA TAIFA ZAIDI YA JPM.
Hilo mlinywe, mlipokee na mkae nalo mioyoni .
Wewe ni mshabiki wa magufuli hivyo hauwezi kufanya reasoning, nakuacha.
 
Mpumzisheni basi..maana kila mtu anadai alimpendekeza yeye mnatumix
 
Mnajulikana tu ambao mlijenga chuki juu ya JPM!

Wauza ngada, vyeti feki, wanufaila wa wafanyakazi hewa, wezi na wazembe
Hamna haja ya kujionesha hapa jukwaani. Magufuli alishahukumiwa kwa matendo yake maovu.
 
Ujinga mtupu.... Alikunyima nafasi?? Biashara zako ziliathirika ???magep yako yalipigwa pingu??? Chuma hakua anajali wee ni MwanaCCM au lah..

Baba wa watu alitaka Kila Mmoja afuate taratibu na sio Ujanja Ujanja tu.


Hata hivo nikuulize wee Mnafiki ... Je Hatuoni makubwa aloyafanya Kwa Nchi hiii?? Uliwah waza serikali kuhamia Dom? Vipi bwawa la JNHEPP lilowashinda wengi Kwa Presha za magharibi?? Vipi kuhusu SGR? ma Flyover kila Kona ? vipi kuhusu Daraja la Busisi na Madaraja makubwa makubwa ? Vipi husu Shirika letu la Ndege ?? Vipi Elimu Bure ???

Ebwanaaa tukaanza fanana na Ulaya.

Kama Hilo dogo, Mwamba akatuingiza uchumi wa Kati katikati ya Vita ya Corona??.



NINA KILA SABABU KWA MOYO WANGU MKUNJUFU, AKILI YAKO,,, KUKUSHAURI WEWE MTAFUTA TEUZI , JARIBU KUFICHA MATOPE YAKO KICHWAN.


WATANZANIA WANA MACHO ,WANA MASIKIO, WALIONA MATENDO YAKE, WALISIKIA MANENO YAKE NA AKAYATENDA .
Povu debe
 
Back
Top Bottom