Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

Dah kweli jamaa yupo sahihi wanawake hamna akili
Jamani uwez kumlinganisha mwanaume na mwanamke....... Wanawake tunawaacha mbali sana.... Kifikra, kiakili, kiushawishi na kivyovyote vile...... Wanaume so chochote mbele ya wanawake " TATIZO BINADAMU WA SIKU HIZI WABISHI SANA"
 
Jamani uwez kumlinganisha mwanaume na mwanamke....... Wanawake tunawaacha mbali sana.... Kifikra, kiakili, kiushawishi na kivyovyote vile...... Wanaume so chochote mbele ya wanawake " TATIZO BINADAMU WA SIKU HIZI WABISHI SANA"
Kweli kabisa yaani sie wanaume ni dhaifu sana ikija pale kwenye kitobo chenu
 
Mwanamke asie na akili ndio yukoje?
Anakuwa hana akili baada ya kuzaa au kabla???
Muulize mtu anapopataga mtoto anakuwa akili haipo sawa kwa sababu ya hiyo hali ndio maana watu hushauriwa kuwa na wakwe zao, mawifi, na muhusika karibu kumpa upendo,nakumfariji ajirudie hali yake ila hao waweka mimba zao zakisenge pamoja na mtu kumzalia yeye hamjali siku yakwanza hapokei simu, halafu hana hela wala , wala hana haya mama wamtoto anamwita malaya wewe malaya achana namimi nipo namke wangu yupi na jaoa , acha tu inahuzunisha basi anaenda kwa mke asiye pata huyo mtoto basi kwa laana .
Haya maisha 😪😭😭😭 yanahuzunisha ila asilimia kubwa tunajitakia kweli .
Tungesubiri hadi ndoa isingetucost
 
Kuna mtu kashaangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali! Sijui kuhusu mwanangu uko alipo!

kwani mkuu, nikizaa na mwanamke, nikakataa kuishi nae, lakini mahitaji nikawa natuma, nitakuwa kwenye hatari ya kuangukiwa na kitu kizito?
 
Waambie hao marafiki zako wajitahidi kutoa huduma kwa Watoto wao maana wakifanya hivyo hawatatukanwa kabisa, na siyo kwamba hao Wanawake hawana akili kama wao wana akili kwanini walizaa na Wanawake ambao hawana akili?
 
Mtoto aliuzwa kwa ndugu yake??? Au hakuwa na mimbaa??? Muda wote unamuhudumia bila hata kuonana nae live kujua kama ana mimba kweli???
Alizaa kama wiki mbili kabla ya kuniambia kazaa, mara ya mwisho nlimwona na mimba ikiwa ndogo kuanzia hapo nlikua napiga sound tu. Nlibahatika kuona picha za mtoto akiwa kakua ile sura yetu kabisa kk.
 
Mbona sijaelewa kitu, kuna siri kama umeificha kuaina
 
Mbususu ulitoa mwenyew ukajazwa sasa lomoni za nin ww pambana bhana
 
Dah.. this is too much, mtu yuko hai kabisa then umwambie mtoto babake kashafariki. Usifanye hivyo, kwa maana siku mtoto akikua na kuja kumfahamu yu hai, hiyo chuki ya mtoto itakugeuka aisee lakini pia utamharibu kisakolojia
I don' t care..
 
Kuna mtu kashaangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali! Sijui kuhusu mwanangu uko alipo!

kwani mkuu, nikizaa na mwanamke, nikakataa kuishi nae, lakini mahitaji nikawa natuma, nitakuwa kwenye hatari ya kuangukiwa na kitu kizito?
Wewe hudumia mwanao..Ndo jambo la msingi mkuu
 

Hiyo quote ya mwisho ya Spiderman [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…