little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Labda bado hana ufahamu na hilo.Mwanamke asiye na akili hata akizaa ndani ya ndoa ni yale yale tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bado hana ufahamu na hilo.Mwanamke asiye na akili hata akizaa ndani ya ndoa ni yale yale tu.
Big up..Mwanaume anayemzalisha mdada kisha kumtelekeza mtoto na Mama yake hii haikubaliki,usimpomlea mwanao unategemea nani akulelee?
Mwanaume lazima ukubali majukumu yako na kupambana ili kuyatimiza majukumu hayo na huo ndio Uanaume.
Ni kweli tuishi humo humo tu Paulina[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Hakii nimecheka sana
Ila daah Tuishini humohumo
Pole sana mkuu kwa unayoyapitia...Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli
Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi
Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia
Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia
Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu
Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.
Niwatakie weekend njema
sio umbea watu tupo kazini mda mwingi tunakua pamojaKazi umbea tu na mahusiano ya watu.
Pole sana mkuu kwa unayoyapitia...
Ni kwelisio kweli …… hii story haijakamilika kama upande wa pili hawajasema chochote
Umemaliza kila kitu..Nyie wanaume wa siku hizi ni vere simple mtu anazalisha afu anatelekeza mtoto alelewe na bibi ake
Mnaona vere simple nyie kulewa au kuishi vizuri ilihali wanenu wanastruggle
Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?
Matokeo yake mwanamama anashindwa ….. saikolojia yake inaelemewa anakosa maneno ya kukupa anaona matusi ndio yanakufaa
Mi sijawai ona mkaka anaehudumia vizur mwanae akatukanwa au kukashifiwa na mzazi mwenziee labda for minor thing
By the way …… tuishi humo
Dah.. this is too much, mtu yuko hai kabisa then umwambie mtoto babake kashafariki. Usifanye hivyo, kwa maana siku mtoto akikua na kuja kumfahamu yu hai, hiyo chuki ya mtoto itakugeuka aisee lakini pia utamharibu kisakolojiaYaani wanaume siku hizi wanaona sijui fashion kutelekeza watoto..
Mimi nilimwambia kabisa akomeeee kupiga simu eti anamuulizia mtoto wakati kwenye matumizi anaona ahusikiii..
Na kifuatacho, mwanangu akikua nitamwambia babake alifarikiii..
Mnaboaaa sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona mshirikina.... Una balaa wwHahahaha sasa atazaaje na mshirikina
😂 😂 hili neno linanifurahisha sana japo umenena vyema sanasio kila mtu unafungua mbususu
Wapo mkuuWaambie rafiki zako watoe pesa za kuwahudumia watoto na mama zao waone kama watatukanwa tena.Ukiwa na pesa mwanamke anaanzaje kukutusi? Huo ujasiri wa kuitukana Benki/ATM anautoa wapi?
Sawasawa mkuuWhu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
Sasa mtoto unabaki kumlea peke yako?Asante sana,kuna muda inabidi ujikubali hata kama walimwengu hawakukubali
Ana miaka saba sasa,kwanza aliniambia nitoe nisipotoa nitajijua kulea...nimekomaa mwenyewe saivi simu za namtaka mtoto wangu zimeanza.Litakufa jituSasa mtoto unabaki kumlea peke yako?
Maana ili jamaa ahusike kwenye malezi lazima mawasiliano yahusike, au wewe unafanyaje?
Utakua genius mkuu,natamani nikujue nje ya jamiii forums,ulombozi wafikra wanahitajika Kua nao mamazetu,sio wao Tu amenifanyaje...mara amenifanyajeWhu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..