Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.

Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli

Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi

Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia

Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia

Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu

Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.

Niwatakie weekend njema
Pole sana mkuu kwa unayoyapitia...
 
Nyie wanaume wa siku hizi ni vere simple mtu anazalisha afu anatelekeza mtoto alelewe na bibi ake
Mnaona vere simple nyie kulewa au kuishi vizuri ilihali wanenu wanastruggle

Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?

Matokeo yake mwanamama anashindwa ….. saikolojia yake inaelemewa anakosa maneno ya kukupa anaona matusi ndio yanakufaa

Mi sijawai ona mkaka anaehudumia vizur mwanae akatukanwa au kukashifiwa na mzazi mwenziee labda for minor thing

By the way …… tuishi humo
Umemaliza kila kitu..
 
Yaani wanaume siku hizi wanaona sijui fashion kutelekeza watoto..

Mimi nilimwambia kabisa akomeeee kupiga simu eti anamuulizia mtoto wakati kwenye matumizi anaona ahusikiii..

Na kifuatacho, mwanangu akikua nitamwambia babake alifarikiii..

Mnaboaaa sana
 
Yaani wanaume siku hizi wanaona sijui fashion kutelekeza watoto..

Mimi nilimwambia kabisa akomeeee kupiga simu eti anamuulizia mtoto wakati kwenye matumizi anaona ahusikiii..

Na kifuatacho, mwanangu akikua nitamwambia babake alifarikiii..

Mnaboaaa sana
Dah.. this is too much, mtu yuko hai kabisa then umwambie mtoto babake kashafariki. Usifanye hivyo, kwa maana siku mtoto akikua na kuja kumfahamu yu hai, hiyo chuki ya mtoto itakugeuka aisee lakini pia utamharibu kisakolojia
 
sio kila mtu unafungua mbususu
😂 😂 hili neno linanifurahisha sana japo umenena vyema sana

ofcouse inaumiza sana kutelekezwa, binafsi nimelelewa na mama huku baba akiwa na uwezo wakati ule lakin huwezi amini hakuweza kunisaidia kwa chochote mama yangu alihangaika sana kunisaidia. Leo Mungu kanijalia analalamika eti Namsaidia na kumsikiliza sana mama najiuliza anataka kuvuna nini ambacho hakupanda?

NB;
Wababa Tusikwepe majukumu haijalishi nn tunakutana nacho wanaoumia ni watoto
 
Hawa Mademu wanaotelekezwa hawajitambui 99% haiwezekan Mtu Azae bila Mipango Maisha yenyewe Magumu haya . Mama anaupiga Mwingi.
 
Whu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
Sawasawa mkuu
 
Asante sana,kuna muda inabidi ujikubali hata kama walimwengu hawakukubali
Sasa mtoto unabaki kumlea peke yako?
Maana ili jamaa ahusike kwenye malezi lazima mawasiliano yahusike, au wewe unafanyaje?
 
Sasa mtoto unabaki kumlea peke yako?
Maana ili jamaa ahusike kwenye malezi lazima mawasiliano yahusike, au wewe unafanyaje?
Ana miaka saba sasa,kwanza aliniambia nitoe nisipotoa nitajijua kulea...nimekomaa mwenyewe saivi simu za namtaka mtoto wangu zimeanza.Litakufa jitu
 
Whu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
Utakua genius mkuu,natamani nikujue nje ya jamiii forums,ulombozi wafikra wanahitajika Kua nao mamazetu,sio wao Tu amenifanyaje...mara amenifanyaje
 
Back
Top Bottom