Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

Nawaonea huruma rafiki zangu, usiombe kuzaa na mwanamke asie na akili

umesema ni rafiki zako wanamajanga hayo tena wanne

wewe tegemezi katafte hela uache kudandia visentisenti vya malezi ya watoto wao na kuwapumbaza hao wanne ili wakae kibachela km wewe.

saa ingine unajiuliza mbona mwanaume huyu atuekewani ila akielekezwa,na marafiki zake anaelekea kumbe ndo nyie mnanyemelea visenti ili asahau wajibu wake.


kazalishe na wewe uwe bize uache kunanga mahusiano ya wenzio.
shida sio Mimi ni wao kunishirikisha na hii inakuja baada ya kushuhudia mizozano yao mara nyingi

Nikitaka mtoto nitazalisha tu dada angu
 
Dada zangu mkiwa makini kila siku mna mengi ya kujifunza.
Hivi inakuwaje somo Moja mfunzwe Mara mbili ( Nadharia na kwa vitendo ).
#SioMapya
 
Ni kweli lazima tuonekane hatuna akili,umenizalisha kunioa umekataa bado unataka mawasiliano nami ya nini sasa.Mi ukishasema hunihitaji futa kumbukumbu zote zinihusuzo.Damn! Tunaishi Mara moja ......ukiniacha naachika kweli!
Whu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
 
Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.

Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli

Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi

Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia

Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia

Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu

Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.

Niwatakie weekend njema

Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta,ukizidiwa sana na mashambulizi kimbia mji hama kabisa hata hapa Jf usiingie kabisa
 
Pole sana mkuu hakuna jambo zuri na lenye tija kama kuchagua mwanamke sahihi wakuzaa nae. Ukikosea hapo unaenda tesa kizazi chako, kuharibu kizazi chako na kupoteza damu yako kwa kukosa malezi bora yatakayo msaidia mtoto kwenye ukuaji wake.

Unaweza lipa Ada ya shule, pesa za matumizi kila mwezi na wasaa wakumuona mtoto pamoja nakupeleka vizawadi kwa mtoto lakini unakuta bado unaambulia matusi.
 
Wewe unayejikaza kuja kuongea upupu huku hivi unajua kuzaa wewe sema .
Unajua hapo wewe akili yako inakutosha hapo ulipo hujitambui .

Umewahi telekezwa na wazazi, ndugu na mwanaume aliyekupa mimba wewe halafu mtoto ananjaa wewe nawe unanjaa hakuna mtu anayekusemesha uko nakamfuko navinguo vya mtoto na nguo zako unalia huna hata vocha ya kumtaarifu mtu ???
Wewe unatafuta laana fulani ya kizazi chako na channe.
Hujijui bado ..
Muombe Mungu leo akusamehe kabisa na umind your own business .
Kumbe jamii forum kuna watu badoo akili hawana hivi mnajiona sisi ni tunamatumbo yakujazwa jazwa tu eh! Ukitaka umjue mwanamke uzae naye ???

Nasisi wanawake tuwe naakili eti sio kila mtu unafungua mbususu wengine wanaume ni vichaa kweli naapa
We umezaa?
 
Pole sana mkuu hakuna jambo zuri na lenye tija kama kuchagua mwanamke sahihi wakuzaa nae. Ukikosea hapo unaenda tesa kizazi chako, kuharibu kizazi chako na kupoteza damu yako kwa kukosa malezi bora yatakayo msaidia mtoto kwenye ukuaji wake.

Unaweza lipa Ada ya shule, pesa za matumizi kila mwezi na wasaa wakumuona mtoto pamoja nakupeleka vizawadi kwa mtoto lakini unakuta bado unaambulia matusi.

Hivi nyie wanaume mnaotukanwa na wanawake live live huwa mnaishi sayari gani?
 
Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.

Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na wanawake hawajafanikiwa kuishi pamoja, asee hili jambo usiombe likukute ishia tu kuliona kwa wenzio maana kwa haya nayoona wanayopitia ni hatari kwakweli

Kuna mmoja juzi mzazi mwenzie kamtukana sana afu hana ata sababu ya msingi

Kwani wanawake mkizalishwa bila kuolewa nini huwa kinawatokea kwene bongo zenu maana haya ninayoyashuhudia

Yaani ukitaka kujua tabia halisi ya mtu wako akuzalie, yaani ukishamzalisha ndo utamjua vizuri kila kitu hadi uvumilivu wake unapoishia

Poleni sana mliozaa na wanawake wasio na akili mna nafasi kubwa Sana ya kupoteza watoto wenu

Ni vile tu hamuongei ila mnapitia mengi sana, nimejaribu kuvaa viatu vya marafki zangu nimeshindwa kabisa.

Niwatakie weekend njema
Kwani we ukizaa na mwanamke bila kumuoa nini kitatokea....... Pole sana kwa kuwaweka mabinti za watu mimba na kushindwa kuwahudumia..... Njoo ujaribu kwangu uone kama utasimamisha maisha yako yote
 
1-Akili zako zinakutuma kila mtu ana matatizo kama yako?
2-Kulialia kwa mwanamke mara zote ni kutokuwa na akili tu au hatunzwi ipasavyo?
3-Hayo maneno umeyatoa wapi wakati umeeleza kuwa huwa hawaongei?
4-Acha kuwatungia watu uongo kwamba wana matatizo kumbe ni weye tu umeshiba uji wa ulezi ukaanza kufikiria visivyokuwepo.
Mleta maada yuko sahihi kabisa. Juzi juzi nilikuwa nashuruhisha ugomvi wajamaa yangu Moja hivi kazaa na binti moja hivi; asikuambie mtu yule binti ni jeuri hatari.

Alianza kumtukana jamaa, huku akimwamvia usinibabaishe wanaume wako wengi watakusaidia kutunza; jamaa akaona isiwe tabu akakata mrija wa pesa.

Baada ya binti kuonanmambo magumu akatelejeza mtoto; jamaa kuona hivyo akachukua mtoto; hapo sasa ndio vituko vilizidi.

Ninapoandika hivi jamaa anajuta sana maana inamgharimu sana mpaka kufika point ya kuiweka ndoa yake matatani
 
Ni kweli lazima tuonekane hatuna akili,umenizalisha kunioa umekataa bado unataka mawasiliano nami ya nini sasa.Mi ukishasema hunihitaji futa kumbukumbu zote zinihusuzo.Damn! Tunaishi Mara moja ......ukiniacha naachika kweli!
Kuna mwanamke mmoja aliwahi kunipiga chini, akaenda kwa msela mwingine baada ya kuahidiwa ndoa, nikam bless kiroho safi, hatujakaa miezi mingi akaanza oooh mbona siku hizi haunipigii simu, maraa oohooo mbona siku hizi haunitafuti.

Huku na huku akaanza kusema anaomba turudiane wakati huo mimi nishaanza kufukua chimbo lingine lenye mnato wa kutosha, kimoyo moyo nikaishia tu kucheka kihutu kama Magufuli.
 
Mleta maada yuko sahihi kabisa. Juzi juzi nilikuwa nashuruhisha ugomvi wajamaa yangu Moja hivi kazaa na binti moja hivi; asikuambie mtu yule binti ni jeuri hatari.

Alianza kumtukana jamaa, huku akimwamvia usinibabaishe wanaume wako wengi watakusaidia kutunza; jamaa akaona isiwe tabu akakata mrija wa pesa.

Baada ya binti kuonanmambo magumu akatelejeza mtoto; jamaa kuona hivyo akachukua mtoto; hapo sasa ndio vituko vilizidi.

Ninapoandika hivi jamaa anajuta sana maana inamgharimu sana mpaka kufika point ya kuiweka ndoa yake matatani
Unaeleza matatizo yako na mleta uzi yalivyowapata.Ni aidha kwa uzembe wenu au bahati mbaya.Msijumlishe watu wote.Eleza yaliyokukuta ufarijiwe!
 
Nyie wanaume wa siku hizi ni vere simple mtu anazalisha afu anatelekeza mtoto alelewe na bibi ake
Mnaona vere simple nyie kulewa au kuishi vizuri ilihali wanenu wanastruggle

Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?

Matokeo yake mwanamama anashindwa ….. saikolojia yake inaelemewa anakosa maneno ya kukupa anaona matusi ndio yanakufaa

Mi sijawai ona mkaka anaehudumia vizur mwanae akatukanwa au kukashifiwa na mzazi mwenziee labda for minor thing

By the way …… tuishi humo
Kwani mbwa,ng'omne,simba,kuku,nk anapozalishwa nani anamsaidia kulea?
 
Whu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
We jamaa umetumia lugha kali lakini haibadilishi kuwa uko na point ya maana sana..

Maana hata kwenye suala la akili[wanaume na wanawake], sio kwamba umemchagua hana akili huyo mpenzi. No. Ni wote hamna akili na ndio maana mmechaguana. Tukibadili lugha tutakuwa wote na jukumu katika yote. Slogan inasema 'We [all of us WE] make shit happen, because with great responsibility comes great POWER'
 
Back
Top Bottom