Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hii itakua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm ndivyo nnavyofanywa mkuu, hasa hawa wadada wapwani nibalaa japo sijamuoa Ila nakili kujuta kuzaa nahuyu dada Ila kwavile Ila kwavile kama wanamziki wasemavyo nyama buchani haiwezi kurudi Kua ng'ombe ,kuzaa tushazaa namtoto tunalea hivyohivyo Huku nikopokea vichambo matusi yahapa napale Ila kusema ukweli kuzaa namdada asiye na Akili mtihani mkubwa Sana ,tena nisuala lakumuomba Mungu Tu.Pole sana mkuu hakuna jambo zuri na lenye tija kama kuchagua mwanamke sahihi wakuzaa nae. Ukikosea hapo unaenda tesa kizazi chako, kuharibu kizazi chako na kupoteza damu yako kwa kukosa malezi bora yatakayo msaidia mtoto kwenye ukuaji wake.
Unaweza lipa Ada ya shule, pesa za matumizi kila mwezi na wasaa wakumuona mtoto pamoja nakupeleka vizawadi kwa mtoto lakini unakuta bado unaambulia matusi.
NdiyoMwanaume anayemzalisha mdada kisha kumtelekeza mtoto na Mama yake hii haikubaliki,usimpomlea mwanao unategemea nani akulelee?
Mwanaume lazima ukubali majukumu yako na kupambana ili kuyatimiza majukumu hayo na huo ndio Uanaume.
Kama wapo, basi watakuwa wachache sana. Na ukifuatilia utakuta wana matatizo ya ugonjwa wa akili uliojificha..Wapo mkuu
Whu do you women sound and so passive..hamko proactive kabisa..kila kitu mnaona mnatendewa nyinyi..tuu..utasikia umenizalisha...mara umeniacha..mara umenitomba au umenichezea ukaniacha..you people mnatakiwa muwe responsible..tumieni hizo akilini zenu zaidi ya kupanua mapaja tuu..sio amekuzalisha mmezaa..sio amekutomba..mmetombana..sio amekuacha mmeachana..ukombozi wenu uanzie huku kwenye lugha..maneno yanaumba.mentality kama hii ni chachu kweny kupata haki sawa mnayoitaka..
Hapo huwa nachokaMbaya sana Mkuu kuitupa damu yako,
Halafu mtoto akija kupata mafanikio ukubwani ndio unaona mtu anajirudisha kwa mtoto na kudai yeye ndio Baba mzazi!
Nguvu ya kufanya hivyo haitegemei financial stability ili iwepo, huwa ipo tu.Hivi unajua kuwa haupo financially stable nguvu ya kutomber mpaka umjaze mtu mimba mnatoaga wapi?
Yaani wanaume siku hizi wanaona sijui fashion kutelekeza watoto..
Mimi nilimwambia kabisa akomeeee kupiga simu eti anamuulizia mtoto wakati kwenye matumizi anaona ahusikiii..
Na kifuatacho, mwanangu akikua nitamwambia babake alifarikiii..
Mnaboaaa san
Tukutane UDOM Utumishi
Ni kweli wake ila tu atumie ustaarabuAna miaka saba sasa,kwanza aliniambia nitoe nisipotoa nitajijua kulea...nimekomaa mwenyewe saivi simu za namtaka mtoto wangu zimeanza.Litakufa jitu
Sio kwa povu hili...kwani shida ni nn?Wewe unayejikaza kuja kuongea upupu huku hivi unajua kuzaa wewe sema .
Unajua hapo wewe akili yako inakutosha hapo ulipo hujitambui .
Umewahi telekezwa na wazazi, ndugu na mwanaume aliyekupa mimba wewe halafu mtoto ananjaa wewe nawe unanjaa hakuna mtu anayekusemesha uko nakamfuko navinguo vya mtoto na nguo zako unalia huna hata vocha ya kumtaarifu mtu ???
Wewe unatafuta laana fulani ya kizazi chako na channe.
Hujijui bado ..
Muombe Mungu leo akusamehe kabisa na umind your own business .
Kumbe jamii forum kuna watu badoo akili hawana hivi mnajiona sisi ni tunamatumbo yakujazwa jazwa tu eh! Ukitaka umjue mwanamke uzae naye ???
Nasisi wanawake tuwe naakili eti sio kila mtu unafungua mbususu wengine wanaume ni vichaa kweli naapa
Mtoto aliuzwa kwa ndugu yake??? Au hakuwa na mimbaa??? Muda wote unamuhudumia bila hata kuonana nae live kujua kama ana mimba kweli???Alipata mimba imefika mda wa kuzaa kasema mtoto kafa
[emoji117]Nkamwambia nakuja hapo hospital nione huyo aliekuja Nafika hospital sound nyingi
[emoji117] Mtoto alizaliwa akauzwa kwa ndugu yake dem alikua hana mtoto
[emoji117] Nlijitahid kufatilia nkagonga kwamba nkawaachia.
Maisha yanaenda ila najuata kuzaa na yule kilazaView attachment 2234587
Dah kweli jamaa yupo sahihi wanawake hamna akiliKwani we ukizaa na mwanamke bila kumuoa nini kitatokea....... Pole sana kwa kuwaweka mabinti za watu mimba na kushindwa kuwahudumia..... Njoo ujaribu kwangu uone kama utasimamisha maisha yako yote
[emoji16][emoji16] si ndio mnawapenda haoTatizo lenu vijana mnaangalia wanawake wenye mikundu mikubwa ndio mnawapelekea moto mwisho wa siku mnakuja jukwaani hapa na kuanza kulalama mara oh,, demu mwenyewe hana akili pambaneni na hali zenu
Rafiki kuna wanawake wanaojielewa, usijumlishe wote.Dah kweli jamaa yupo sahihi wanawake hamna akili
Rafiki kuna wanaume wanaojielewa not allen are dogs.Rafiki kuna wanawake wanaojielewa, usijumlishe wote.