Nawaonea sana huruma dada zangu. Kipindi wapo umri 25, uzazi upo rahisi kwao, hawapati wanaume wa kuwaoa. Wakifika 30s wakiwa na vihela ndio wanaolewa

Ukiwa above 35 tu Hospital wanakwambia viungo vya uzazi vimekomaa so unakua kwenye risk ya kupata changamoto wakati wa kujifungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…