GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nyie mliokuja PM kutaka niseme chochote tu kuihusu Yanga SC na kinachoendelea iwe mwanzo na mwisho sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kweliWatajijua wenyewe...
Kweli kabisa...sisi hatuna habari na mbwembwe zao..Sema kweli
PopomaNa nyie mliokuja PM kutaka niseme chochote tu kuihusu Yanga SC na kinachoendelea iwe mwanzo na mwisho sawa?
Nani uwapige 8 nyie wazee? Hivi mna ota? Amkeni usingiziniAcha kuwaambia.
Waamini Yanga Kuna mgogoro wake tarehe 8 tuwapige 8
Nikiwa nawaambia huyu mtoa mada hajawahi kufika Dar. Anaishi Bugarika Mwanza mjini na kwao ni Bunda vijijini mkoani Mara ndo aliposomea na kukulia muwe mnaelewa.Na nyie mliokuja PM kutaka niseme chochote tu kuihusu Yanga SC na kinachoendelea iwe mwanzo na mwisho sawa?
Tengeneza timu mwaya.Kweli kabisa...sisi hatuna habari na mbwembwe zao..
Huu mtego umewanasa.Nani uwapige 8 nyie wazee? Hivi mna ota? Amkeni usingizini
Endelea kusikia...akili za kuambiwa changanya na zako mwaya....Tengeneza timu mwaya.
Nsikia kule misri ulikula 6:2 ukataka kuweka mpira kwapani😁
Bado mna hangover ya ulimbukeni...😃😃shtuka kijana...Simba ya sasa sio hyo unayoiota...sio hyo mliyo honga mpka kipa...Huu mtego umewanasa.
Tarehe 5 mlipigwa 5
Tarehe 8 mtapigwa 8
Tena itakuwa sikukuu ya wakulima nane nane😅
😅😅Bado mna hangover ya ulimbukeni...😃😃shtuka kijana...Simba ya sasa sio hyo unayoiota...sio hyo mliyo honga mpka kipa...
Nimeliona hilo Mkuu na naliogopa mno tena wala siyo hizo 8 ila tukifanya mzaha na kumbwela na kubweteka hata 10.Acha kuwaambia.
Waamini Yanga Kuna mgogoro wake tarehe 8 tuwapige 8
Kuna Members hapa huwa nawasiliana nao PM sasa waulize huwa wanafanya nini hadi Mimi na Wao tunaweza Kuwasiliana? Hujaanza leo Kunichokoza hapa JamiiForums japo nimeshakuripoti mno kwa Moderators akina Payge hadi JamiiForums Founder mwenyewe kwa aina yako ya Uchokozi dhidi yangu ila hakuna wanachokufanya. Halafu nikisema kuwa Wewe ni Moderator wanaona nadanganya. Na najua unachokitaka hapa ni Mimi na Wewe tujibizane kisha Uniripoti kwa Mods na wanipe BAN. Na bahati nzuri hao Members ambao nimekuwa nikiwasiliana nao hapa wapo watakuja Kushuhudia wenyewe.Nikiwa nawaambia huyu mtoa mada hajawahi kufika Dar. Anaishi Bugarika Mwanza mjini na kwao ni Bunda vijijini mkoani Mara ndo aliposomea na kukulia muwe mnaelewa.
Anasema watu wanamfuata PM. Na PM yake ameifunga...
Anajitia kujipa umuhimu ambao hana...
Huyu jamaa ana tatizo kubwa sana huyu
Usisahau Tarehe 5 mlikula 5Nani uwapige 8 nyie wazee? Hivi mna ota? Amkeni usingizini
MkuuNa nyie mliokuja PM kutaka niseme chochote tu kuihusu Yanga SC na kinachoendelea iwe mwanzo na mwisho sawa?