mashuka collection
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 608
- 1,409
Shame upon mzazi how? Mzazi anapambana kumsomesha mtoto ila ndo hvyo tenaSalama kitu gani?
Nimetoka kibaruani nimejichokea, hapa ndani ya mji mdogo wa Himo mara bila kutegemea naparamiwa na msichana ananililia, anaomba aokolewe mpenzi wake amelewa anampiga na marungu.
Anaomba msaada nikamchukulie vitu vyake arudi chuoni Kilacha(chuo cha mifugo), jamaa ananifata amefura nimuachie demu wake amfundishe adabu kumuangalia vizuri ni bodaboda ninayemfahamu muda mrefu sana.
Mtoto wazazi wanajibana litoto limepata ufaulu wa ajabu form four/six linakuja kuhangaika na bodaboda huku mtaani.
Mzazi wa huyu binti shame upon you.
kwakweliYou can take the cow to the river but you can't force it to drink water.
nadhani ni suala la maadili tu. leo nilipita sheli moja, nikakuta mzee kama wa miaka 60 hivi, anamtongoza binti attendant wa pump, kwa makadirio yule binti kama ana miaka 20 hajazidi 23. umbile dogo maskini, ila mzee ni bonge la mtu. nimesimama opposite naye, akatongoza, akapewa namba everything nasikia na naona. niliona huruma sana. na binti anaonekana anasubmit kwasababu ya shida, sijui pale sheli wanampa bei gani kwa mwezi na anajiongezaje, mzee ambaye sawa na babu yake kabisa.Salama kitu gani?
Nimetoka kibaruani nimejichokea, hapa ndani ya mji mdogo wa Himo mara bila kutegemea naparamiwa na msichana ananililia, anaomba aokolewe mpenzi wake amelewa anampiga na marungu.
Anaomba msaada nikamchukulie vitu vyake arudi chuoni Kilacha(chuo cha mifugo), jamaa ananifata amefura nimuachie demu wake amfundishe adabu kumuangalia vizuri ni bodaboda ninayemfahamu muda mrefu sana.
Mtoto wazazi wanajibana litoto limepata ufaulu wa ajabu form four/six linakuja kuhangaika na bodaboda huku mtaani.
Mzazi wa huyu binti shame upon you.
Wazazi tunaonewa sana!!!Mzazi wa huyu binti shame upon you.