FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #201
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mawigi hapana aisee wanakua Kama wamejitwisha kuku kichwani pumbavu kabisa
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🙌Kuna wengine bila mawigi huwezi ongozana nao
😹😹😹 ko mlitaka tusiseme ahsante?Dah...halafu unamsifia kwamba ana nywele nzuri na yeye anakujibu asante [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mengine yananuka sana, mengine yamekaa kama wamevaa kikapu kichwani, yaani tafarani. Nashauri waache kuyavaa wanapendeza sana na wanakuwa naturalNawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
Kinashikika hicho kimbwasa?kikubwa kibwamsa kipo og 🤣🤣🤣
Mkuu mbona vingine vya kuonesha uelewa wao kiduchu na hawajitambui umeviacha?Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.