Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru umenikumbuka
Sema neno basi rokho yangu ipone?Nashukuru umenikumbuka
wigi original sh.ngapi?Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
komwe ndo nini?Komwe kama Rihanna
mbona Rihanna mzuri kabisakomwe ndo nini?
Nikuoe,maana huwezi kuishi hivi hivi bila mwanaume,umesahau ule usemi wa "Kuolewa ni sheria kuzaa ni majariwa?"[emoji23][emoji23][emoji23]unifatilie ili iweje
Ahaaa,Baridi la wapi hilo?.Hahaaa baridi nimeshalizoea na hivi naishi kwenye baridi nakumbatia blanketi langu
Unamaanisha wanaume tuna mfumo wa ki-sisiem-u?Hao hao wanaume ndiyo wanao wapa pesa ya kununulia, na kibaya zaidi mke nyumbani anakatazwa lakini huko nje gharama zinatolewa za kununulia mawigi
Mashalaah 👸Hapana Mtani mimi huwa navaa ushungi.
Hahaaa naweza tu mbona kuishi mwenyewe bila yoyote mimiNikuoe,maana huwezi kuishi hivi hivi bila mwanaume,umesahau ule usemi wa "Kuolewa ni sheria kuzaa ni majariwa?"
Huku mbali SanaAhaaa,Baridi la wapi hilo?.
Taja upo wapi,ili nijue kweli huko kuna baridi au ni cha mtotoHuku mbali Sana
Huo sio utaratibu wa maisha,binadamu tunaishi wawili wawili,huoni hata ndege angani wanatembea wawili wawili, Me na Ke?,Lazima upate wa kukuliwaza na kukupoza.Hahaaa naweza tu mbona kuishi mwenyewe bila yoyote mimi
Mimi naweza kujipoza mwenyewe,na hivi sitegemei furaha yangu kwa watu naishi kwa Raha mno moyoni Mimi, ctaki mazoea na watuHuo sio utaratibu wa maisha,binadamu tunaishi wawili wawili,huoni hata ndege angani wanatembea wawili wawili, Me na Ke?,Lazima upate wa kukuliwaza na kukupoza.
Baridi ipo natumia two blanketsTaja upo wapi,ili nijue kweli huko kuna baridi au ni cha mtoto