Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa heshima na taadhima naomba uje PM tuyajenge mama.Sijaolewa
Mimi shayajenga mda humu JF staki kujenga loloteKwa heshima na taadhima naomba uje PM tuyajenge mama.
Ndio maaana anaonekana kama takataka....USELESS...Ila hawezi kumfanya takataka mkewe ndio hampiHao hao wanaume ndiyo wanao wapa pesa ya kununulia, na kibaya zaidi mke nyumbani anakatazwa lakini huko nje gharama zinatolewa za kununulia mawigi
Jf never boringKomwe kama Rihanna
Pole,pacha wa RIHANA( bila wigi huwez tembea,bila WiFi komwe halifichiki)... Jikubali acha komwe lionekaneMimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Hahaaa I'm beautiful on my own ways with wig, or without it, and I don't need external validation.Pole,pacha wa RIHANA( bila wigi huwez tembea,bila WiFi komwe halifichiki)... Jikubali acha komwe lionekane
Kakwambia nani takataka, pole sana, maisha yenyewe mafupi haya!Ndio maaana anaonekana kama takataka....USELESS...Ila hawezi kumfanya takataka mkewe ndio hampi
Mwache ajidanganyeHahaaa I'm beautiful on my own ways with wig, or without it, and I don't need external validation.
Hii noma sana mkuu hayo yametokea wapi huko😀😀😀Mimi nilishasema mwanaamke wangu avae chochote apendacho,avae mawigi asuke yebo mikia mirefu(hii naipendaga zaidi1[emoji1787]) anyoe,aweke bleach ni yeye tu apendavyo....
Toka nione hata waimba kwaya,walokole wake za wachungaji na masheikh wanatafuniwa hadi vichakani basi siwezi mjudge mwanamke tena kwa uvaaji au muonekano wake.
Suka bana wachana na mkongeHehehehehe...eti takataka.. tena mleta mada umenikumbusha kuvaa wig langu 😂😂
Sijajaaliwa nywelesuka bana wachana na mkonge
ni uvivu wako tu wa kuzitunzaSijajaaliwa nywele
Nipe tipsni uvivu wako tu wa kuzitunza
kama unahitaji basi nitakusaidia lakini wachana na mawigi kama mkuu alivyosema😉😉Nipe tips
Aiseekama unahitaji basi nitakusaidia lakini wachana na mawigi kama mkuu alivyosema😉😉
usipate wakati mgumu kwenye hiliAisee
Sawa nimekuelewausipate wakati mgumu kwenye hili
ni vile hujui ulivyo mrembo bila wig
Kutopendeza si wigi tu hata nguo zakawaida kuna wengine huwa utazani kavalishwa hippo au mti umevalishwa, hivyo ni maumbile tu.tatizo linakuja kwamba si kila anaevaa wig anapendezea ni kama yana wenyewe yale kuna wanaovaa wakapendeza
lakini kuna mengine hukaa baboon