Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Mimi sipendi kope za bandia jamani khaaaa


Nitavumilia mawigi ila kope za bandia na makucha marefuuu sana kama jini siyapendagi
 
Hao hao wanaume ndiyo wanao wapa pesa ya kununulia, na kibaya zaidi mke nyumbani anakatazwa lakini huko nje gharama zinatolewa za kununulia mawigi
Ndio maaana anaonekana kama takataka....USELESS...Ila hawezi kumfanya takataka mkewe ndio hampi
 
Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Pole,pacha wa RIHANA( bila wigi huwez tembea,bila WiFi komwe halifichiki)... Jikubali acha komwe lionekane
 
Mimi nilishasema mwanaamke wangu avae chochote apendacho,avae mawigi asuke yebo mikia mirefu(hii naipendaga zaidi1[emoji1787]) anyoe,aweke bleach ni yeye tu apendavyo....

Toka nione hata waimba kwaya,walokole wake za wachungaji na masheikh wanatafuniwa hadi vichakani basi siwezi mjudge mwanamke tena kwa uvaaji au muonekano wake.
Hii noma sana mkuu hayo yametokea wapi huko😀😀😀
 
Tatizo linakuja kwamba si kila anaevaa wig anapendezea ni kama yana wenyewe yale kuna wanaovaa wakapendeza
lakini kuna mengine hukaa baboon
 
tatizo linakuja kwamba si kila anaevaa wig anapendezea ni kama yana wenyewe yale kuna wanaovaa wakapendeza
lakini kuna mengine hukaa baboon
Kutopendeza si wigi tu hata nguo zakawaida kuna wengine huwa utazani kavalishwa hippo au mti umevalishwa, hivyo ni maumbile tu.
 
Back
Top Bottom