Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Mi najiulizaga tu hivi wanawake kukaaa na nywele bandia au hata zao wamesuka wiki mbili had miezi bila kunawa kichwa wanajisikiajeeee???? Daaa shikamoo wa jinsi ya kike
 
Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
kama mdangaji sawa lakini siyo mke
 
kwani huwa wapo wanaovaa mawigi na si takataka?! mi siku zote najua wanavaaga wale takataka!.
 
Mi yakidondokaga huwa yananichekesha sana.

Hasa kama wakiwa wanapigana.

Sijui kwa nini huwa wanakimbilia kuvutana nywele.

Sasa ukute mmoja wao kavutwa nywele na nywele zenyewe za wigi 🤣.

Pure hilarity.
 
Mi yakidondokaga huwa yananichekesha sana.

Hasa kama wakiwa wanapigana.

Sijui kwa nini huwa wanakimbilia kuvutana nywele.

Sasa ukute mmoja wao kavutwa nywele na nywele zenyewe za wigi 🤣.

Pure hilarity.
 
Daaa nmesomaa comments chache POVU ni kiwango cha SGR japo nami siwez kuwa na dem mvaa wigi... Nikiwa dom nmewahi usku kuxongwa na MACHANGU sehem flan mmoja nkampiga kofii nikashangaa kichwa kmekatika kumbe wiki limedondoka kwakwl wigi lipigwe vita sanaa nlizan nmeuwa
 
Back
Top Bottom