Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sasa haujaolewa halafu unakataa kuja PM,isije fika miaka ile ya kukesha madhabahuni ukisaka mume kwa udi na uvumbaMimi shayajenga mda humu JF staki kujenga lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa haujaolewa halafu unakataa kuja PM,isije fika miaka ile ya kukesha madhabahuni ukisaka mume kwa udi na uvumbaMimi shayajenga mda humu JF staki kujenga lolote
Dooh!!Sio kosa lao wamenyimwa nywele nzuri
Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my timeSasa haujaolewa halafu unakataa kuja PM,isije fika miaka ile ya kukesha madhabahuni ukisaka mume kwa udi na uvumba
Dah . Oooh [emoji2960]Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
Mtani kwani unavaa wigiDooh!!
Hapana Mtani mimi huwa navaa ushungi.Mtani kwani unavaa wigi
Whaaaat
🤭Whaaaat
Sema usikike[emoji2960]
Sawa, mume sio lazima, ila hakikisha unashika mimba na kuzaa angalau, hakuna atakae kuuliza kuhusu mume kama una mtoto wa kwako unayemlea, trust me.Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
Umeandika ukweli Ila huyo anayefatilia yangu ana shida, maana ndoa ni exaggerated Sana kuliko uhalisiaSawa, mume sio lazima, ila hakikisha unashika mimba na kuzaa angalau, hakuna atakae kuuliza kuhusu mume kama una mtoto wa kwako unayemlea, trust me.
Subiri msimu wa baridi,tuone km utaendelea na kauli yako hiiMimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
Kha!kha!Mtoto wa kike lazima ufuatiliwe.Tutakuachaje sasa?.Umeandika ukweli Ila huyo anayefatilia yangu ana shida, maana ndoa ni exaggerated Sana kuliko uhalisia
[emoji23][emoji23][emoji23]unifatilie ili iwejeKha!kha!Mtoto wa kike lazima ufuatiliwe.Tutakuachaje sasa?.
Hahaaa baridi nimeshalizoea na hivi naishi kwenye baridi nakumbatia blanketi languSubiri msimu wa baridi,tuone km utaendelea na kauli yako hii
Komwe kama Rihanna
Afu wew[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Nini jamani