Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, “wewe sio mwarabu“, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe “kwani nimesema mimi ni mwarabu?” ?
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Ngoja nikufafanulie, mtu anayekuchulia wewe kama sex toy hashindwi hata kukufunga kamba shingoni na kukuvuta kama mbwa barabarani huku ukimlamba miguu, hiyo inaweza ikampa mshawasha zaidi wa kingono, its simply and pirely for sexual gratification, lakini kamwa hawezi kumfanyia hivyo mtu anaemheshu katika level ya mke, sijui unanielewa lakini? Hence anakataza nyumbani ila nje kama kawa
Hivi kwani mke anafanya nini ndani zaidi ya kusex jamani?

Hivi kuna tofauti gani na huyo unaowaza ni sex toy?
Kwani ndoa maana yake ni nini?

Mi huwa siwaelewagi kabisa kuona kama mke eti ndio anathamani sana na si sex toy?

Sasa mtu akununuliwa wigi la laki na zaidi akapendeza na mke akanyoa huko nyumbani ndio waona kaonewa huyu sex toy unayemwita?
 
Kila kitu kina nafasi yake. Na sio kwamba wewe hupendi wingi basi kila mtu hapendi.

Wengine wanavaa occasionally sio kila siku yupo hapo.

Pia kama hujui kuna mawigi ambayo huwezi jua ni wigi mzee... yaani kitu kama kimeotea hapo hapo.

Waavhe wanawanawake wajirembe wawe warembo bwana.

Wewe mwenyewe unaweza kuta mapungufu yako ni kubaa boxer mwezi mzima[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kila kitu kina nafasi yake. Na sio kwamba wewe hupendi wingi basi kila mtu hapendi.

Wengine wanavaa occasionally sio kila siku yupo hapo.

Pia kama hujui kuna mawigi ambayo huwezi jua ni wigi mzee... yaani kitu kama kimeotea hapo hapo.

Waavhe wanawanawake wajirembe wawe warembo bwana.

Wewe mwenyewe unaweza kuta mapungufu yako ni kubaa boxer mwezi mzima[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😀😀😀 hallelujah nimependa hitimisho.
 
Hivi kwani mke anafanya nini ndani zaidi ya kusex jamani?

Hivi kuna tofauti gani na huyo unaowaza ni sex toy?
Kwani ndoa maana yake ni nini?

Mi huwa siwaelewagi kabisa kuona kama mke eti ndio anathamani sana na si sex toy?

Sasa mtu akununuliwa wigi la laki na zaidi akapendeza na mke akanyoa huko nyumbani ndio waona kaonewa huyu sex toy unayemwita?
Najua umenielewa, usitafute faraja kwangu, achana na mawigi.
 
Mimi navaa wigi nitakavyo mwanaume atajayeniona Mimi takataka ana matatizo ya akili, na Hilo ni tatizo lake kichwani na ninafanya kitu ninachojiskia sio kufuraisha wanaume, wanaume dhaifu ndio huhangaika na Mambo ya kike, kisa hawana hela ya kununulia wapenzi wao mawig original
Utakosa kidume cha mbegu shauri yako.
 
Utakosa kidume cha mbegu shauri yako.
Nikose tu mwanaume anayeshindwa kufanya Mambo ya kiume na kuniambia nisifanye nitakacho hanifai huyo, lazima aelewe vitu ninavofanya ni kwa sababu ni mwanamke na hormones za kike ningekuwa wakiume navaa mawigi na kujipodoa ana haki ya kunikataza
 
me mwenyewe nimewaza kesho nikaliseti lanhu [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti naulizaa, amyevaa wigi ni tofauti na anayevaa kigodoro?
Kama ni tofauti please nisaidie kutofautisha kabla sijakubaliana na wazo la bagonza "penye wigi waweza weka kigodoro"
 

mkuu mi mmoja wapo siyapendi mawigi, lakini nilikuja pata sababu kwa mpenzi wangu aliniambia kua na nywele natural tena ziwe nyingi inakua ngumu kuzihandle dawa, kuchana kila ahsubuhi, kufunga zikae vizuri kila mda, hvyo basi inampelekea kuvaa wigi ili iwe ni kupaka mafuta na kuondoka.

Soon utakuja kukubaliana na wazo lake la kuvaa kigodoro mkuu maana sababu zake nayo haiko mbali na hiyo aliyokupa
 
Halafu wakivaa hayo majitu wanavyojishongondoa kama wazungu koko.....

Mara arudishe nywele nyuma kwa kidole, mara ajitikise bichwa eti nywele zirudi nyuma kama za mzungu. Amejitwika na makucha kama jini maimuna.

Wigi lenyewe gumu kama katani grade C. Akizungusha bichwa makatani yanajigeuza mzobe mzobe kama helmet.

Halafu sijui nani kawaambia wanapendeza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom