EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Nikiona demu kasuka napagawa sana halafu akiwa ana msambwanda ndio ananoga zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me shavaa kwa hasira...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehehehe...eti takataka.. tena mleta mada umenikumbusha kuvaa wig langu [emoji23][emoji23]
Kuna wigi za mambele uko zimenyooka utapenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mpashe aelewe asifananishe steelwire na mawigi
Kama hukumaanisha kuwa hawavai kwa ajili ya wanaume sasa kwanini umemaliza kwa kusema wanaume wanawaona kama Takataka??Mimi sijatoa assertion yoyote kwamba mnavaa kwa ajili ya wanaume, ndio maana hata mtu nisiemjua akipita nalo hilo wigi, bado nina liberty ya kumchukulia vile nijuavyo mimi, japo obviously amevaa kwa ajili ya mtu mwingine, au kwa ajili yake mwenyewe, it doesn’t matter, fact is wanaume huchukulia hivyo, haijalishi umevaa kwa ajili ya nani, its totally irellevant. Haisaidii kukaza ubongo kwa makusudi wakati umeshaelewa. Tuishie hapo.
Wajinga hao Sana wanajionaga wazungu ety n mikucha ya bandia pmbfu kbsa huwa ni kutokujiamini ndo kunapelekea mwanamke kuvaa miwigi hata kama ni la milioni 100 nakuona punguani kuvaa minywele bandia Mimi huwa nawakubali wanawake wanajiamini kama cariha Joanah hwa viumbe huwa hawavaagi miwigi na Wana nywele zao naturally kbsa ndo mifano ya kuigwaa kwa jamii
I,m not sure for my examples jaman mniwie radhi
[emoji122][emoji122][emoji122]Unakunywa kinywaji gani mkuuNawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
ewaaaaa kitu way unaweka popote ukienda swimming huwazi kuvua unazama nalo tuKuna wigi za mambele uko zimenyooka utapenda
watu wanaweka kichwani 3000$
Mbona nyie mnatumia arv za wazungu technology yao kuanzia huduma za kijamii, magari Hadi nguo za mitumba kwahyo mnajifanya wazungu sio? Kwahyo waafrica hatuajimini sio maana hata elimu ni yao ustaarabu ni wao kujifunza kusoma na kuandika ni wao hata huu mtandao isingekuwa wazungu wameanza na sisi tukaiga leo usingekuwa una jimwambafai hapaWajinga hao Sana wanajionaga wazungu ety n mikucha ya bandia pmbfu kbsa huwa ni kutokujiamini ndo kunapelekea mwanamke kuvaa miwigi hata kama ni la milioni 100 nakuona punguani kuvaa minywele bandia Mimi huwa nawakubali wanawake wanajiamini kama cariha Joanah hwa viumbe huwa hawavaagi miwigi na Wana nywele zao naturally kbsa ndo mifano ya kuigwaa kwa jamii
I,m not sure for my examples jaman mniwie radhi
wengi wao ni malaya na mishangingi iliyo kubuhu mjini
na mikope kama mavuzi ya simba
sio mawigi ya aristote na jonijo [emoji23][emoji23] synthetic tupuewaaaaa kitu way unaweka popote ukienda swimming huwazi kuvua unazama nalo tu
Hao uliowa mention unawafahamu?Wajinga hao Sana wanajionaga wazungu ety n mikucha ya bandia pmbfu kbsa huwa ni kutokujiamini ndo kunapelekea mwanamke kuvaa miwigi hata kama ni la milioni 100 nakuona punguani kuvaa minywele bandia Mimi huwa nawakubali wanawake wanajiamini kama cariha Joanah hwa viumbe huwa hawavaagi miwigi na Wana nywele zao naturally kbsa ndo mifano ya kuigwaa kwa jamii
I,m not sure for my examples jaman mniwie radhi
😂😂😂😂😂😂Me shavaa kwa hasira...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulitaka niseme wanawaona kama malaika? Au ulitakaje?Kama hukumaanisha kuwa hawavai kwa ajili ya wanaume sasa kwanini umemaliza kwa kusema wanaume wanawaona kama Takataka??
😂 😂 😂 😂 😂wengi wao ni malaya na mishangingi iliyo kubuhu mjini
na mikope kama mavuzi ya simba
😂😂mleta uzi hayajui hayo yotesio mawigi ya aristote na jonijo [emoji23][emoji23] synthetic tupu