Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sipendi uvae wigi, ukivaa tu nakuacha.Kwani wanavaa mawigi kwa ajili ya wanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi uvae wigi, ukivaa tu nakuacha.Kwani wanavaa mawigi kwa ajili ya wanaume?
Sipendi uvae wigi, ukivaa tu nakuacha.
DahHebu nilitafute siku nivae manake muda mrefu nakutafutia sababu uniache
Naomba ahadi yako iwe kweli
Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, “wewe sio mwarabu“, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe “kwani nimesema mimi ni mwarabu?” ?Ungeanza kujibu swali ingependeza
Hivi nikija kwako from nowhere nikakwambia, “wewe sio mwarabu“, wakati wala hujasema kwamba wewe ni mwarabu, utajibu nini zaidi ya kuuliza na wewe “kwani nimesema mimi ni mwarabu?” ?
Mimi sijatoa assertion yoyote kwamba mnavaa kwa ajili ya wanaume, ndio maana hata mtu nisiemjua akipita nalo hilo wigi, bado nina liberty ya kumchukulia vile nijuavyo mimi, japo obviously amevaa kwa ajili ya mtu mwingine, au kwa ajili yake mwenyewe, it doesn’t matter, fact is wanaume huchukulia hivyo, haijalishi umevaa kwa ajili ya nani, its totally irellevant. Haisaidii kukaza ubongo kwa makusudi wakati umeshaelewa. Tuishie hapo.Acha ngonjera jibu swali
Nilichouliza hakipo mbali na hoja yako
Mimi nilishasema mwanaamke wangu avae chochote apendacho,avae mawigi asuke yebo mikia mirefu(hii naipendaga zaidi1[emoji1787]) anyoe,aweke bleach ni yeye tu apendavyo....
Toka nione hata waimba kwaya,walokole wake za wachungaji na masheikh wanatafuniwa hadi vichakani basi siwezi mjudge mwanamke tena kwa uvaaji au muonekano wake.
Kwani wanavaa mawigi kwa ajili ya wanaume?
mkuu hivi hua mnavaa ajili ya kupendeza au fasheni tu?Kwani wanavaa mawigi kwa ajili ya wanaume?
Mimi sijatoa assertion yoyote kwamba mnavaa kwa ajili ya wanaume, ndio maana hata mtu nisiemjua akipita nalo hilo wigi, bado nina liberty ya kumchukulia vile nijuavyo mimi, japo obviously amevaa kwa ajili ya mtu mwingine, au kwa ajili yake mwenyewe, it doesn’t matter, fact is wanaume huchukulia hivyo, haijalishi umevaa kwa ajili ya nani, its totally irellevant. Haisaidii kukaza ubongo kwa makusudi wakati umeshaelewa. Tuishie hapo.
mkuu hivi hua mnavaa ajili ya kupendeza au fasheni tu?
Wee kenge wa mbuganiMkuu,pitia comment yangu vizuri tafadhali
Ngoja nikufafanulie, mtu anayekuchulia wewe kama sex toy hashindwi hata kukufunga kamba shingoni na kukuvuta kama mbwa barabarani huku ukimlamba miguu, hiyo inaweza ikampa mshawasha zaidi wa kingono, its simply and pirely for sexual gratification, lakini kamwa hawezi kumfanyia hivyo mtu anaemheshu katika level ya mke, sijui unanielewa lakini? Hence anakataza nyumbani ila nje kama kawa
Ngoja nikufafanulie, mtu anayekuchulia wewe kama sex toy hashindwi hata kukufunga kamba shingoni na kukuvuta kama mbwa barabarani huku ukimlamba miguu, hiyo inaweza ikampa mshawasha zaidi wa kingono, its simply and pirely for sexual gratification, lakini kamwa hawezi kumfanyia hivyo mtu anaemheshu katika level ya mke, sijui unanielewa lakini? Hence anakataza nyumbani ila nje kama kawa
Haaa haaa , wengi wanao kataa wanawake wasivae kwa wake zao kweli wanaweza zuia, lakini kwa michepuko mpaka bei wanazijuaMimi nilishasema mwanaamke wangu avae chochote apendacho,avae mawigi asuke yebo mikia mirefu(hii naipendaga zaidi1[emoji1787]) anyoe,aweke bleach ni yeye tu apendavyo....
Toka nione hata waimba kwaya,walokole wake za wachungaji na masheikh wanatafuniwa hadi vichakani basi siwezi mjudge mwanamke tena kwa uvaaji au muonekano wake.
Wakwangu avae tu japo sijawahi kumuona akivaa ila anayo anasemaga mpka itokee emergency ndio atavaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Haaa haaa , wengi wanao kataa wanawake wasivae kwa wake zao kweli wanaweza zuia, lakini kwa michepuko mpaka bei wanazijua
Haaaaaaa jamaniiiiiiii!Kweli kabisa cha msingi nikuwagegeda tuu