Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

Hahahaaaa! ama kweli mtani tu ninae, nishindwe mwenyewe

Fata maelekezo baada ya hapo kama huto onana na atoto na kumwambia unacho taka kumwambia basi ntamwambia invisible anipe ban ya milele.
Serious fata maelekezo Mushi.
 
Sasa badala utake zawadi kubwa kubwaaaa!! kumbe hujui kutumia fursa eeh!!
Mtani usiwe na wasi hiyo ni test ..kama hawezi kutoa ndogo hata kubwa hatoweza Teh Teh halafu baadae itabidi akatafute senene zilizopo!
 
Mtani usiwe na wasi hiyo ni test ..kama hawezi kutoa ndogo hata kubwa hatoweza Teh Teh halafu baadae itabidi akatafute senene zilizopo!

Hahahahaa! nimeipenda hiyo, senene si ulisema hawapatikani sasahivi?
 
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
heeeee laiti ungewaona usingetype hapa hivi unataka nikupeleke ukawaone walivyo hahahaaaaa
 
Back
Top Bottom