Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Wanaume wenye I'D za kike mmekuwa kero siku hizi sijui mnajisikiaje ku act kikekike
Leo kaja na hii: wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana, ukiangalia eti kajiunga na JF juzi Alhamisi, sasa kamjuaje Lizaboni na wengineo! kazi ipo kwa kweli. wana kazi ya kufungua ID mpya kila siku
 
Leo kaja na hii: wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana, ukiangalia eti kajiunga na JF juzi Alhamisi, sasa kamjuaje Lizaboni na wengineo! kazi ipo kwa kweli. wana kazi ya kufungua ID mpya kila siku
Dennis wewe ni kaka poa?
 
Leo kaja na hii: wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana, ukiangalia eti kajiunga na JF juzi Alhamisi, sasa kamjuaje Lizaboni na wengineo! kazi ipo kwa kweli. wana kazi ya kufungua ID mpya kila siku
Wacha porojo zako wewe. Kwani kuwajua member wa JF hadi na ww uwe member. Usimtibue bebi wangu
 
Afu nimeshangaa katujuaje wakati hana hata wiki.
Au alikuwa nje kama guest. Au ni wewe una multiple IDs manake Steve Job akili nyingi sana wewe mzee
Aiseee

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
Leo kaja na hii: wanawake hawa wa "jf" ni mfano wa kuigwa...nawapenda sana, ukiangalia eti kajiunga na JF juzi Alhamisi, sasa kamjuaje Lizaboni na wengineo! kazi ipo kwa kweli. wana kazi ya kufungua ID mpya kila siku
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
1.Saint ivuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Le mburula nation
Huyu baba anatia kichefu chefu jamani
Anajifanya kijana kumbe ni kibabu,, ukimpa ukweli ni lazima [emoji357] litakuhusu
Ongezea mwingine .................
ww ni bikra kweli?
 
1.Saint ivuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Le mburula nation
Huyu baba anatia kichefu chefu jamani
Anajifanya kijana kumbe ni kibabu,, ukimpa ukweli ni lazima [emoji357] litakuhusu
Ongezea mwingine .................


Halafu mimi unanipendaga inbox tuu
 
1.Saint ivuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Le mburula nation
Huyu baba anatia kichefu chefu jamani
Anajifanya kijana kumbe ni kibabu,, ukimpa ukweli ni lazima [emoji357] litakuhusu
Ongezea mwingine .................
Mbona mi hujanitaja
 
Back
Top Bottom