Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Mpaka natoka ofisini mtandao ulikuwa chini sana. Nimeshindwa kabisa kufanya kazi kwa ufanisi siku ya leo sababu ya poor connectivity. TTCL bado iko na shida sanaTTCL iko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka natoka ofisini mtandao ulikuwa chini sana. Nimeshindwa kabisa kufanya kazi kwa ufanisi siku ya leo sababu ya poor connectivity. TTCL bado iko na shida sanaTTCL iko vizuri
Siasa hiziNimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.
Yeap mkuu na ukiangalia kwa sasa ttcl pekee ndo vifurushi vyao bei poa kushinda mitandao yote hapa nchini.Hawa ilikuwa ndio wawe baba ya mitandao yote hata underground cables zote zilikuwa ziwe chini ya TTCL ila wahujumu wameiangamiza
Lingekuwa kama BT walivyoshika soko mpaka landline zote wanapitia kwao
Mashirika yanahujumiwa sana haya
Mb300Jero napata GB ngapi😂😂😂
Mkuu,Soon kinarudi. Ni suala la muda tu.
Tuwekee menu yao tuone unafuu wa hivyo vifurushi vyao. Kumbuka kwa 1k napata 1GB na dakika 10 kwa wiki nzima huku halotel, huko ttcl kuna unafuu zaidi ya huu!!?Yeap mkuu na ukiangalia kwa sasa ttcl pekee ndo vifurushi vyao bei poa kushinda mitandao yote hapa nchini.
Mbona hakuna kitu kama hiki?Tatizo la TTCL ni moja tu. Mb zikiisha kabisa na ukaweka kifurushi kingine, daa!! Inabidi udubiri nusu saa ndipo uunganishwe tena na mtandao.
*148*30#Mkuu,
Hebu share menu ya TTCL ili tuone bei za vifurushi.
Si kweli mkuuTatizo la TTCL ni moja tu. Mb zikiisha kabisa na ukaweka kifurushi kingine, daa!! Inabidi udubiri nusu saa ndipo uunganishwe tena na mtandao.
Mkuu, ingekuwa vizuri kama ungetupatia namba yako ya TTCL, ofisi ilipo ili tuangalie tatizo na kulitatua.Mpaka natoka ofisini mtandao ulikuwa chini sana. Nimeshindwa kabisa kufanya kazi kwa ufanisi siku ya leo sababu ya poor connectivity. TTCL bado iko na shida sana