Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo sio bei, shida ni matumizi, kama nimezima data nasave bando langu lisiliwe kwenye background ina maana nikiwasha data natakiwa kuanzia nilipoishiaSawa laikini kwasasa mitandao mingi vifurushi bei juu
Wengine tuna mambo mengi tunatumia bando bila kuzima data full youtube insta kuangalia videos bila kuhofia mkuuTatizo sio bei, shida ni matumizi, kama nimezima data nasave bando langu lisiliwe kwenye background ina maana nikiwasha data natakiwa kuanzia nilipoishia
Mkuu hyo gb1.2 n kwa wiki au?Jero unapata MB 500 mkuu sio GB tena ila kwa 1000 unapata GB 1.2 mkuu karibu
Mbona sijakiona?Nipe menuTTCL kwa buku unapata 1.2GB plus dakika 10 na sms 30
kweli aisee mim nimesajiri laini sio muda baada ya kuona zantel na halotel wanazingua sema watu awataki kuenjoyTatizo watu wagumu kuhamini haya, anyway acha tuenjoy tu
Nipe menuKwa siku 5 mkuu
Sijui una tatizo au Mimi sielewi? Unasema Ni nafuu weka tofauti zao tuone Kama kweli wako nafuu kuliko hao uliowatajaHapana mkuu voda,tigo airtel na wengine kwa sasa hawana kifurushi cha bei poa kuzidi ttcl nimehamia huku now.
*150*71# unachagua vocha na vifurushi then tam tamMbona sijakiona?Nipe menu
Waambie hao wanahisi me nimetumwa kumbe naongea ukweli yani kwa sasa nafurahia GB 1.2 kwa buku tu wakati voda na wengine hadi uwe na buku 2Mtoa mada hajatumwa ndo ukwel halisi ttcl wako njema si kidgo gb moja gb moja kwel si za kuungaunga wenzao wamebadili vifurushi wao wako na vilevile. nna mwaka naa na hii line mambo muswano
Huyu jamaa Ni mwongo.Sio kweli.
Voda Wana 1gb,dk100. Siku 3 kwa bukuWaambie hao wanahisi me nimetumwa kumbe naongea ukweli yani kwa sasa nafurahia GB 1.2 kwa buku tu wakati voda na wengine hadi uwe na buku 2