Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa uweje menu imeshindwa unataka nani akuamini?Waambie hao wanahisi me nimetumwa kumbe naongea ukweli yani kwa sasa nafurahia GB 1.2 kwa buku tu wakati voda na wengine hadi uwe na buku 2
Voda Mimi napata gb1 dk 100 siku 3 kwa buku.Ipo hivi kwa elfu moja
ttcl napata GB 1.2 wakati voda napata MB 550
Basi wana ujinga hata kwangu watabadilisha.Hiko kifurushi kimebadilishwa kwangu naow napata MB550 tu
Nmeshaionapiga *150*71# kisha chagua nunua kifurushi then chagua tam tam plus utakiona cha siku 5
😂😂Afadhali umeona nawewe.Huyu jamaa Ni mwongo.
Kwa muda gani, siku/wiki?TTCL kwa buku unapata 1.2GB plus dakika 10 na sms 30
4G mzee baba
TTCLJamani TTCL au Halotel? Ipi bora?
Present Sir😁Zink = Kanungila Karim
Hizo ID kama zinaendeshwa na mtu mmoja
kwa siku ngapi mkuuNiko huku Namtumbo kwa buku napata gb1.2 mtandao uko fresh
ila wamezingua kutoa kifurushi cha usiku
Nimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.