Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Sijui una tatizo au Mimi sielewi? Unasema Ni nafuu weka tofauti zao tuone Kama kweli wako nafuu kuliko hao uliowataja
Ipo hivi kwa elfu moja
ttcl napata GB 1.2 wakati voda napata MB 550
 
Waambie hao wanahisi me nimetumwa kumbe naongea ukweli yani kwa sasa nafurahia GB 1.2 kwa buku tu wakati voda na wengine hadi uwe na buku 2
Umeambiwa uweje menu imeshindwa unataka nani akuamini?
 
Nimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.

Kwa mikoani kac ikoje? Na kwa vijijini je?
 
Back
Top Bottom