Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Tuwekee menu yao tuone unafuu wa hivyo vifurushi vyao. Kumbuka kwa 1k napata 1GB na dakika 10 kwa wiki nzima huku halotel, huko ttcl kuna unafuu zaidi ya huu!!??
TTCL kwa buku unapata 1.2GB plus dakika 10 na sms 30
 
Yeap mkuu na ukiangalia kwa sasa ttcl pekee ndo vifurushi vyao bei poa kushinda mitandao yote hapa nchini.

Naona serikali inaweka nguvu zaidi taratibu tutafika ila hawajitangazi sana kama hao wengine ndio maana wanapigwa bao

Yaani mzawa kweli anachezewa sharubu na wa kuja
 
Naona serikali inaweka nguvu zaidi taratibu tutafika ila hawajitangazi sana kama hao wengine ndio maana wanapigwa bao

Yaani mzawa kweli anachezewa sharubu na wa kuja
Yeap hao wengine sahivi watu wanaisoma namba full malalamiko tu
 
TTCL? Labda kipindi hiki wawe wame improve
 
4G pia ata 3G kote good mkuu
Mwanza hapa katikati ya jiji kabisa mtandao mbovu. Kuna siku mpaka nikasogea ofisini kwako pale napo mtandao mbovu nikawa nawaza sasa hata shughuli zao pale ofisini wanaziendesha aje kama network mbovu hivi?!

N'way kama ulipo tiGO ina speed nzuri na una chip ya TTCL hapo ndiyo inaweza kua msaada kwako. Cha kufanya fanya manual search ya network na select tiGO (Yaani laini ya TTCL isome kwenye mtandao wa tigo pia washa /enable Roaming) hii itasaidia kuboost network ya TTCL.
 
TTCL? Labda kipindi hiki wawe wame improve
Ni mtandao mmoja mbovu sana kuwahi kuwapo nchini TZ na pia wana customer care mbovu sana hawajali matatizo ya mtumiaji akiwa ana shida..
 
Mwanza hapa katikati ya jiji kabisa mtandao mbovu. Kuna siku mpaka nikasogea ofisini kwako pale napo mtandao mbovu nikawa nawaza sasa hata shughuli zao pale ofisini wanaziendesha aje kama network mbovu hivi?!

N'way kama ulipo tiGO ina speed nzuri na una chip ya TTCL hapo ndiyo inaweza kua msaada kwako. Cha kufanya fanya manual search ya network na select tiGO (Yaani laini ya TTCL isome kwenye mtandao wa tigo pia washa /enable Roaming) hii itasaidia kuboost network ya TTCL.
Japo wanamapungufu ila kwa sasa ttcl wana unafuu wa bei za bando mkuu
 
Bei gani hicho kifurushi cha bei poa kuliko mitandao mingine ?
 
Back
Top Bottom