Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Hapana mkuu voda,tigo airtel na wengine kwa sasa hawana kifurushi cha bei poa kuzidi ttcl nimehamia huku now.

Line yatigo nataman niivunjevunje chifu. Harotel iko slow. Game za mpira hufurahii mzehe, linakwamakwama
 
Wewe ni mtumishi wa TTCL unajitekenya
 
We Ali Kiba utapigwa vidole humu Jamiiforum kusifia ujinga, kuna aliyekutuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…