Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

Nawapongeza TTCL kwa kasi nzuri ya internet

zink

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2021
Posts
1,208
Reaction score
2,352
Nimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.
 
Nimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.
Afisa masoko wa TTCL
 
Niko huku Namtumbo kwa buku napata gb1.2 mtandao uko fresh
ila wamezingua kutoa kifurushi cha usiku
 
Lakini ukitumia line ya ttcl unakuwa huru kweli japo hata mitandao mingine mtu hauko huru kivile ila naona ttcl ni magumashi zaidi.
Kwa sasa wanavifurushi vya bei poa ndio maana nipo huku mkuu.
 
Nimekua nikisikia malalamiko humu jf juu ya mtandao wetu pendwa wa ttcl, lakini kadri muda unavozidi kwenda naona kama wanajirekebisha maana leo nafurahia kasi ya ajabu ya internet na huku vifurushi vyao vikiwa na bei poa kuliko mtandao wowote hapa TZ.
HONGERENI SANA TTCL TUPO PAMOJA.
Apo umepost na vpn umewasha uongo?
 
Niko huku Namtumbo kwa buku napata gb1.2 mtandao uko fresh
ila wamezingua kutoa kifurushi cha usiku
Hiko kifurushi ndio nilikua nakitumia pindi nadownload gta 5 ila sio mbaya mkuu now hakuna ttcl mkuu.
 
Back
Top Bottom