Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mkuu wewe upo karibu na watawala, tafadhari wasihi basi waajiri waalimu katika ngazi mbalimbali.

Serikali imekuwa ikijenga shule na kututangazia kua imefanikiwa kujenga shule nyingi,lakini hatuoni waalimu tukiajiriwa,huoni shida mkuu?

Kikawaida, mwalimu mmoja anatakiwa kufundisha wanafunzi 45, lakini sasa hali haiko hivyo,hata kama haiko hivyo, shauri serikali iajiri tafadhari, walau teaching loads kwa waalimu ipungue.
Mgeni kaja kwako hata hajapumzika tayari umesha anza kumwambia shida zako.. Wabongo bhana
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Karibu mkuu, ila unatakiwa uwe smart, kujenga hoja , alafu washauri wenzako huko serikalini waje na majina yao halisi sio kwa majina ya kujificha ficha kwenye jukwaa hili, ili pale panapotakika kujadiliana tujadiliane ,na penye spana zinapigwa kweli.
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Uchaguzi umekaribia karibu sana.Ndiyo msimu wenyewe huu.
 
Mkuu wewe upo karibu na watawala, tafadhari wasihi basi waajiri waalimu katika ngazi mbalimbali.

Serikali imekuwa ikijenga shule na kututangazia kua imefanikiwa kujenga shule nyingi,lakini hatuoni waalimu tukiajiriwa,huoni shida mkuu?

Kikawaida, mwalimu mmoja anatakiwa kufundisha wanafunzi 45, lakini sasa hali haiko hivyo,hata kama haiko hivyo, shauri serikali iajiri tafadhari, walau teaching loads kwa waalimu ipungue.
Mmeanza tiyari!
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Nianze kwa swali, Ni lini serikali itaanza ujenzi wa uwanja wa Mpira wa Dodoma ? Je serikali inaridhishwa na ligi yetu kuchezwa kwenye viwanja kama majaruba? Na ni upi mkakati wa serikali kuhakikisha msimu huu wa 24/25 ligi inachezwa kwenye viwanja Bora?
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Karibu sana kaka.
 
Back
Top Bottom