Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Hiyo salamu ninaipinga kwa Jina la Yesu.
 
Raha kweli kama mwalimu ingekuwa fursa
Kwa idadi hiyo ningehakikisha kila mwanafunzi ananunua karanga zangu kwa 200shs kila siku 😊
200 nyingi, mia tu mara 400....una assume wengine hawana hela.
100*400 😊 jtatu hadi ijumaa.

Inatosha kupunguza usumbufu wa kuangalia angali salio nmb, mixa kufungua fungua thread "vipi jamani huko bado huko bado"
 
Hapo kunakua hakuna uelewano mzuri, kati ya mwalimu na wanafunzi wake,hivyo kupelekea mwalimu kutofikia malengo aliyokusudia kwa wanafunzi husika.

Nadhani ndiyomaana hata viongozi wengi hawataki kupeleka watoto wao,shule za umma.Madhaifu mengi sana.
Sio tu viongozi hata mimi mwananchi wa kawaida sipeleki watoto wangu.

kutoboa huko ni mtoto awe na akili zake za kuzaliwa au anajitambua na juhudi binafsi, tofauti na hapo.....atuambie yuko wapiiii
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Ndugu yangu hii njia uliyochagua kupita ni ngumu sana,,itabidi ukaze,,ila itakusaidia kujua mbichi na mbivu
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
 
Karibu Sana mhishimiwa Angalau leo ntamuuliza swali mtu mwenyewe Mamlaka? Ni hivi mnajisikiaje pale mnaposikia polisi wetu wamehusika kuteka au kuua mtanzania mwenzenu huwa mnajisikiaje? Tangu haya Mambo usable sijawahi sikia mkikemea au kulaablni tu
 
Karibu sana hapa jukwaani mkuu.
Mimi nachoomba upitie maandiko yangu:

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

39. Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako na jinsi utakavyo okoa fedha nyingi

40. Kwako Mkurugenzi mpya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART): Katatue changamoto zifuatazo…
 
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.

Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.

Assalam Waleikhum
Unakaribishwa Karibu Sana kwenye jukwaa hili.

Lakini kutokana na uzoefu wangu binafsi nilionao, naamini ya kwamba utakuwa Mjumbe wa kusoma Maoni ya wachangiaji wengine tu wa jukwaa hili kama ilivyo kwa Watu wengine wenye kaliba kama yako ambao nao wapo humu kwenye Jukwaa hili bila ya Wewe mwenyewe kutoa Maoni yako binafsi.
Ni Waziri Dkt. Dorothy Gwajima peke yake ndiye mwenye uthubutu wa kutoa Maoni yake pamoja na kutoa ufafanuzi wa Hoja mbalimbali ambazo zimekuwa zikijadiliwa kwenye Jukwaa hili la JF sambamba na kuchukua na kuzifanyia kazi baadhi ya Constructive Comments zinazotolewa na Wachangiaji wa Jukwaa hili. Wengine wote wamekuwa wakijisajili kwenye Mtandao huu na kisha wanakimbia au wanakaa kimya kabisa bila kuchangia kitu chochote kile.
 
Daaaah🤣, Kidogooo kwenye Maradhi na Umasikini tumepiga hatua ila Ujinga bado ni janga kubwa Mheshimiwa si hata wewe umetuona ulivyotuacha ndivyo umetukuta tena?

Karbu utupange.
 
Back
Top Bottom