Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Mgeni kaja kwako hata hajapumzika tayari umesha anza kumwambia shida zako.. Wabongo bhanaMkuu wewe upo karibu na watawala, tafadhari wasihi basi waajiri waalimu katika ngazi mbalimbali.
Serikali imekuwa ikijenga shule na kututangazia kua imefanikiwa kujenga shule nyingi,lakini hatuoni waalimu tukiajiriwa,huoni shida mkuu?
Kikawaida, mwalimu mmoja anatakiwa kufundisha wanafunzi 45, lakini sasa hali haiko hivyo,hata kama haiko hivyo, shauri serikali iajiri tafadhari, walau teaching loads kwa waalimu ipungue.
Wazito wamo wengi sana humu sema wanjipa majina ya bandia!, ila huwa tunawagundua kwa Comment zao 🤣Kipindi hiki JF tunapata ugeni mzito mzito tu.....
Karibu supu
Raha kweli kama mwalimu ingekuwa fursaMwalimu mmoja watoto mia saba, hadi raha....
Hahahaha 😂 jamanUsije ukaomba vocha kwa tajiriii
Karibu mkuu, ila unatakiwa uwe smart, kujenga hoja , alafu washauri wenzako huko serikalini waje na majina yao halisi sio kwa majina ya kujificha ficha kwenye jukwaa hili, ili pale panapotakika kujadiliana tujadiliane ,na penye spana zinapigwa kweli.Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
CCM wameteka jukwaa, yaani wamejipangaKazi iendelee
Haina shida, waajiriwe wengine basi, japo sijajua kama una sifa za kunifanyia ASSESSMENT.Kama wewe ni Mwalimu ni bora usiajiriwe kwenda kufundisha wanafunzi ujinga.
Uchaguzi umekaribia karibu sana.Ndiyo msimu wenyewe huu.Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
Mmeanza tiyari!Mkuu wewe upo karibu na watawala, tafadhari wasihi basi waajiri waalimu katika ngazi mbalimbali.
Serikali imekuwa ikijenga shule na kututangazia kua imefanikiwa kujenga shule nyingi,lakini hatuoni waalimu tukiajiriwa,huoni shida mkuu?
Kikawaida, mwalimu mmoja anatakiwa kufundisha wanafunzi 45, lakini sasa hali haiko hivyo,hata kama haiko hivyo, shauri serikali iajiri tafadhari, walau teaching loads kwa waalimu ipungue.
Nianze kwa swali, Ni lini serikali itaanza ujenzi wa uwanja wa Mpira wa Dodoma ? Je serikali inaridhishwa na ligi yetu kuchezwa kwenye viwanja kama majaruba? Na ni upi mkakati wa serikali kuhakikisha msimu huu wa 24/25 ligi inachezwa kwenye viwanja Bora?Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
Wacha bwana, tusije fukuzwa huku😁 muhimu comment yangu iwepo tu😁Kifront front tu
Karibu sana kaka.Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum
MnogageMsigwa, wakunyumba wewe
kamwene
Karibu sanaNawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa muda mrefu sikuwemo katika jukwaa hili lakini natambua mchango mzuri wa wadau wote unaotolewa kupitia jukwaa hili.
Naomba mnikaribishe na tujadiliane kwa afya na kwa maslahi ya nchi yetu.
Assalam Waleikhum