Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

King Leon 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2019
Posts
245
Reaction score
342
Nimeona taarifa juu ya uyu mchezaji Elias Mpanzu ambae Simba ilijaribu kutumia nguvu kumpata ila wakashindwa kwasababu ya ofa kubwa toka ulaya ,kwa bahati mchezaji uyo ameshindwa vigezo vya kujiunga na timu iyo ya ubelgiji na kurudi kwao Congo. Nawasihi viongozi wa Simba kama kweli wanataka kujenga timu yao basi wamrudie mchezaji uyo ambae wengi wetu tumemuona na kujua uwezo wake.

Soma Pia:
➡️ Klabu ya KRC Genk 🇧🇪 haijalidhishwa na kiwango cha Winga Elie Mpanzu (22) 🇨🇩 katika majaribio aliyofanya kwa muda wa wiki mbili na nusu na hatasajiliwa

➡️ Mpaka sasa Elie Mpanzu ni Mchezaji huru (Free agent) na hana ofa yoyote mezani kwake

➡️ Winga Elie Mpanzu hana mpango wa kurudi katika klabu ya AS Vita Club 🇨🇩 kuelekea msimu mpya
 
Kitendo cha kushindwa majaribio ni ishara pia kuwa labda kiwango au utimamu wake wa mwili hauko sawa. Kila siku tunalilia wachezaji wafanyiwe vipimo na majaribio halafu mnataka kukimbilia mchezaji aliyeshindwa majaribio.
 
Kitendo cha kushindwa majaribio ni ishara pia kuwa labda kiwango au utimamu wake wa mwili hauko sawa. Kila siku tunalilia wachezaji wafanyiwe vipimo na majaribio halafu mnataka kukimbilia mchezaji aliyeshindwa majaribio.
Sizani maana mchezaji kushindwa Belgium sio sawa na Tanzania,Uyu mchezaji tumemuona Champions League anajua ata akija ligi yyt Africa. Kumbuka pia jinsi ligi yetu ilivyo na vina saba vya wachezaji toka Congo
 
Nimeona taarifa juu ya uyu mchezaji Elias Mpanzu ambae Simba ilijaribu kutumia nguvu kumpata ila wakashindwa kwasababu ya ofa kubwa toka ulaya...
Duuuh! Inakuwaje watu ambao ni viongozi na kazi yao ni mpira kila wakiamka wanashindwa kufuatilia vitu vya mpira kama hivi? Pale Simba kuna viongozi majuha sana. Ngoja utamsikia yuko Yanga huyo very soon.
 
Duuuh! Inakuwaje watu ambao ni viongozi na kazi yao ni mpira kila wakiamka wanashindwa kufuatilia vitu vya mpira kama hivi? Pale Simba kuna viongozi majuha sana. Ngoja utamsikia yuko Yanga huyo very soon.
Tujiulize ili sijui watoa taarifa wanapuuziwa au wamejawa unafiki na kuangalia matumbo yao kwanza
 
Sizani maana mchezaji kushindwa Belgium sio sawa na Tanzania,Uyu mchezaji tumemuona Champions League anajua ata akija ligi yyt Africa. Kumbuka pia jinsi ligi yetu ilivyo na vina saba vya wachezaji toka Congo
Tena ukisema hayo mambo ya vinasaba vya wacongo ndiyo kabisaaa waachane naye. Congo wanaujua mpira, tena sana tu ila hao tuwaachie Yanga tu watambe nao, wakija Simba ni maumivu tu. Ningesema hata Zambia tuachane nao pia. Hao huwa wanarubuniwa kwa angle ya historia za kisiasa.
 
Back
Top Bottom