Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

Yule rasta asiyekuwa na nidhamu hakufuzu majaribio lakini alipokelewa
Duh mifano yenu sasa ndiyo huwa inaniacha hoi. Kibu si tayari alikuwa mchezaji wa Simba? Yaani kabisa umekaa ukatafakari ukaja na mfano huo kujibu hoja yangu?
 
S
Sorry kwa kukuelewa tofauti maana wote tuko kwaajiri ya soka letu
Ila,apo kwenye kununulika kirahisi tuweke kando mzee mimi sio muhumini wa kuamini ayo maana yalikuwa zamani sana saivi wachezaji wengi ni Profession
Sio kweli, mchezaji wa kikongo akiwekewa mil10 anahujumu timu mapema sana
 
S

Sio kweli, mchezaji wa kikongo akiwekewa mil10 anahujumu timu mapema sana
Tutakaporudiana na yanga tuwawekee boka,maxi na baleke milioni 10 per each tushinde goli 5 au unasemaje?
 
Back
Top Bottom