Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

Duuuh! Inakuwaje watu ambao ni viongozi na kazi yao ni mpira kila wakiamka wanashindwa kufuatilia vitu vya mpira kama hivi? Pale Simba kuna viongozi majuha sana. Ngoja utamsikia yuko Yanga huyo very soon.
Hahahahaha sio majuha mkuu, wanajua wanachofanya hiyo ni biashara hapo watu wamekula hela safi,

Ayoub anawekwa pembeni huku akiendelea kula mshahara..

Ateba anaingia ,watu wanaishi , si mlitaka mshambuliaji?
 
Tena ukisema hayo mambo ya vinasaba vya wacongo ndiyo kabisaaa waachane naye. Congo wanaujua mpira, tena sana tu ila hao tuwaachie Yanga tu watambe nao, wakija Simba ni maumivu tu. Ningesema hata Zambia tuachane nao pia. Hao huwa wanarubuniwa kwa angle ya historia za kisiasa.
Nitajie wachezaji waCongo wa 5 waliofeli Simba ,,Shida viongozi hawajajua tu kuwa hakuna mchezaji mwnye kipaji wa afrika magharibu akaja uku kwetu wao Target ni nje ya Africa wakishindwa sana basi nchi za kiarabu ukiona mchezaji amaekubali kuja nchi za Chini kwa Afrika ukitoa South Africa basi ujue makapi au kuna 10% kubwa sana tofauti na hawa waCongo wanaamini Tz pia ni mlango wa kutokea Africa
 
Nitajie wachezaji waCongo wa 5 waliofeli Simba ,,Shida viongozi hawajajua tu kuwa hakuna mchezaji mwnye kipaji wa afrika magharibu akaja uku kwetu wao Target ni nje ya Africa wakishindwa sana basi nchi za kiarabu ukiona mchezaji amaekubali kuja nchi za Chini kwa Afrika ukitoa South Africa basi ujue makapi au kuna 10% kubwa sana tofauti na hawa waCongo wanaamini Tz pia ni mlango wa kutokea Africa
Mbona point yangu ipo clear. Sijasema ni wabovu nimesema wananunulika kirahisi kwa maana ya kuhujumu timu.

Watakupa msimu mmoja mzuri au ukibahatika miwili ila thamani yake ikishaonekana, jiandae kwa lolote.
 
Mbona point yangu ipo clear. Sijasema ni wabovu nimesema wananunulika kirahisi kwa maana ya kuhujumu timu.
Sorry kwa kukuelewa tofauti maana wote tuko kwaajiri ya soka letu
Ila,apo kwenye kununulika kirahisi tuweke kando mzee mimi sio muhumini wa kuamini ayo maana yalikuwa zamani sana saivi wachezaji wengi ni Professional
 
Hahahahaha sio majuha mkuu, wanajua wanachofanya hiyo ni biashara hapo watu wamekula hela safi,

Ayoub anawekwa pembeni huku akiendelea kula mshahara..

Ateba anaingia ,watu wanaishi , si mlitaka mshambuliaji?
Hii tabia ya 10% ndio itaua klabu zetu na soka kwa ujumla mwisho wa siku wachezaji watakuwa wanachukua ata porini uko na kumvesha jezi tu wapige chao
 
Nitajie wachezaji waCongo wa 5 waliofeli Simba ,,Shida viongozi hawajajua tu kuwa hakuna mchezaji mwnye kipaji wa afrika magharibu akaja uku kwetu wao Target ni nje ya Africa wakishindwa sana basi nchi za kiarabu ukiona mchezaji amaekubali kuja nchi za Chini kwa Afrika ukitoa South Africa basi ujue makapi au kuna 10% kubwa sana tofauti na hawa waCongo wanaamini Tz pia ni mlango wa kutokea Africa
Sawa sawa
 
Congo sio Dar.
Kuna,utofauti gani, wachezaji wa Congo wakofamiliar sana na soka letu yaani wameprove ilo na hawaitaji siku nyingi kucope na mazingira.

In Additionally uyo Mpanzu anajua na tumemuona Champions League pamoja na baadhi ya mechi za As Vita. Haitajwi kumjadiri sana zaidi ya kuweka pesa tu
 
Kama Mwasibu umesema No, maana yake hakuna mchezaji hapo. Hujawahi kukurupuka wewe kwenye hesabu zako za kihasibu, na hasa kwenye kipengele muhimu cha takwimu.
Mwasibu kaupiga mwingi , aheshimiwe kuanzia leo na tunaiomba serikali sikilivu ya Rais Mama Samia Suluhu imhamishe Mhasibu apelekwe ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa maendeleo ya nchi..
 
Mwasibu kaupiga mwingi , aheshimiwe kuanzia leo na tunaiomba serikali sikilivu ya Rais Mama Samia Suluhu imhamishe Mhasibu apelekwe ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa maendeleo ya nchi..
Aende kwenye,sekta ya usajiri uko ndio amebobea kimahesabu 😂😂😂😂😂
 
Kitendo cha kushindwa majaribio ni ishara pia kuwa labda kiwango au utimamu wake wa mwili hauko sawa. Kila siku tunalilia wachezaji wafanyiwe vipimo na majaribio halafu mnataka kukimbilia mchezaji aliyeshindwa majaribio.
Yule rasta asiyekuwa na nidhamu hakufuzu majaribio lakini alipokelewa
 
Back
Top Bottom